Jamani naomba kufahamishwa je conservation officer II wa tanapa anapata safari za kikazi kama kampuni zingine mfan kama tra na zingine.
Namba kufahamishwa kwa mwenye vivid information wadau.
hapana boss nilikuwa nahitaji kujua tu wakati mwingine inamotivate sana piabraza kwani wewe umeshahakikiwa hiyo kazi mpaka uulize hivo? Maana hata usahili bado unaanza kuulizia marupurupu ya kazi indirect.
bado aiseeKwani wamesha toa Majina ya wanao takiwa kufanya usaili?
acha uongo aisee watanganyika mna mambo yenu mnayaleewa wenyewe tu. Shame on you!Watu washaripoti kazini....🤦🏻♂️🤦🏻♂️
bado aisee acha kupotosha watu unawatoa kwenye matumaini yao na concetration pia. uwe mkwel jamaa kama huna taarifaWatu washaripoti kazini....🤦🏻♂️🤦🏻♂️
acha uongo aisee watanganyika mna mambo yenu mnayaleewa wenyewe tu. Shame on you!
Mkuu inaku-motivate vipi ikiwa hata kwenye shortlist hujui kama upo au haupo? Inshort hata interviews (both written and oral interviews) haujafanya? Subiri kaka.hapana boss nilikuwa nahitaji kujua tu wakati mwingine inamotivate sana pia
Huyu jamaa ngoja akakutane na mapicha picha ya SELECTED vs NOT SELECTED pale ndiyo atawakubali Utumishi na kufahamu kuwa kumbe ka neno NOT linaweza kuleta madhara kisaikolojiaMkuu inaku-motivate vipi ikiwa hata kwenye shortlist hujui kama upo au haupo? Inshort hata interviews (both written and oral interviews) haujafanya? Subiri kaka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kana kera kale Not selected una 50 mwenzio Selected ana 50.5😂😂 utasema Uchawi upo.Huyu jamaa ngoja akakutane na mapicha picha ya SELECTED vs NOT SELECTED pale ndiyo atawakubali Utumishi na kufahamu kuwa kumbe ka neno NOT linaweza kuleta madhara kisaikolojia