Darockboi
Member
- Jan 5, 2020
- 34
- 22
Ni hospitali gani inaweza kuweka zile nyaya za kunyoosha meno yaliyojipangilia vibaya?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni hospitali gani inaweza kuweka zile nyaya za kunyoosha meno yaliyojipangilia vibaya?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndani ya mda gani yanakua yamenyooka mkuu?Muhimbili ni milion 1 chini laki 5 na juu laki 5 Kama utahitaji ninazo za Meno ya chini ntakuuzia kwa bei pungufu kidogo nilimnunulia dogo wakamfunga juu tu chini wananiambia hazina haja
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni hospitali gani inaweza kuweka zile nyaya za kunyoosha meno yaliyojipangilia vibaya?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni chuma na Siyo nyaya kama mtoa mada alivyouliza?
Nami nasubiri majibu hapaNi chuma na Siyo nyaya kama mtoa mada alivyouliza?
Kituo chenu kiko wapi na mnatoa huduma gani za meno?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama yangu na ya pacha wangu RonaldinhoKwani yakikaa hivyohivyo huwezi kula? Mimi yangu yapo km ya ngiri nayapenda balaa...