Lyamber
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 11,716
- 18,753
Mkuu Hilux Surf zinazotumia engine ya 2L-TE ukiwa una accelerate RPM ikifika juu ya 2 kwenye dashboard inawaka taa ya kijani ilioandikwa turbo gia ikishabadilika vivyo hivyo inazima na ukiendelea ku accelerate kwenye speed zaidi ya hio Turbo inawaka..1KZ-TE yenyewe turbo yake ipo direct..kwenye dashboard hakuna alama ya turbo ipo on au off..unaweza ukaelezeaje hapo? Kuweka rekodi sawa kuna baadhi ya Prado II zinazotumia 2L-TE nazo zinazo hio alama ya kuonesha turbo imewaka au haijawaka...utapenda wakati inafungua turbo? turbo mda wote ipo on as long as gari imewasha sema haisikiki at lower rpm