sijui niitaje lakini ni zile zinakua small in physical size
Ww unataka mini pc za accer?
Bei znatofautiana kutokana na Qulification zake.
Hapo na maani Ukubwa wa hard disc,RAM,processer . Nakushaur kama huna ujuz nayo mtafute mtu wako wa karb mwenye ujuz na haya mambo ukienda dukan uende nae
nahitaji yenye 2gb Ram na 500gb hdd bland new ni sh ngapi?
Vyema ukaingia mtaa kucheki kwenye maduka ujue ipi itakufaa, bei niliyokupa ni roughly,kama uko dar pale millennium bizness park ubungo, town mtaa kaluta mtaa wa zanaki, morogoro rd ,mt jamhuri ama kariakoo Uhuru street kuna maduka mengi tu unaweza kufanikiwa.
Min laptop used zinaanzia 3k mpk 7k kutegemea na specifications
Brand new zip mpk 9k.
K=1000
3k = 3000
7k = 7000
9k = 9000
mheshimiwa naambiwa namba nayopiga haipo
laki 4 average, ila sikushauri kuchukua mini laptop kama huelewi unachofanya, nyingi zao zinatumia processor za atom ambazo zipo slow balaa, utakuja kushindwa hata kuangalia movie za hd
mkuu Chief asante kwa ushauri mimi nina laki nne tu kuna jamaa alinambia kwa bei hiyo siwezi kupata laptop labda min,naomba unielekeze jinsi ya kujua min laptop zinazotumia processor za atom na je naweza kupata laptop kwa bei hiyo?