The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,318
- 46,059
Unanukia?
Hapo ndio kwenye chorus yenyewe sasa.
Unanukia?
Akikujibu nijulishe maana dsm wanataka vitu vya kunukiaUnanukia?
Wakikujibu jinsi ya kuupata hapa dar nami naomba unijibu kwani nahitaji sana mcheleUtajuaje kama unavimba au mnapikia hapo mashineni?
Nikitaka Wa kupika home naupateje kg50 nipo DSM