Naomba kujua bei ya alizeti mikoani

Naomba kujua bei ya alizeti mikoani

Fanya 60,000 tuchukue zote
Hahaha mkuu
Mwenzio hiyo bei alitaka mwaka Jana mwezi wa 9
Wewe unakuja January hii useme 60 uchukue zote
Unadhani mzigo bado upon? Na kama upo utapungua wakati saivi ndo adimu au hujaangalia tarehe alipost lini?
 
Back
Top Bottom