Naomba kuijua CV ya Samson Mwigamba

Naomba kuijua CV ya Samson Mwigamba

Ila wakamtimua kwenye hiyo nafasi ya uhasibu na kumuweka Josephine Mahimbo!

ha ha ha josephin ni mjanja sana,,, sasa hivi anamchuna dr.slaa akifilisika tu anarudi kwa mumewe wa ndoa mahimbo
 
Na viongozi wengi wa chadema elimu ni tatizo... Ukiwa na elimu nzuri hupewi cheo au nafasi.

Ook, nilikuwa sijajua kumbe wako hivyo hawa Chadema.
Hivi hii CPA ya Uhasibu ni elimu gani kama na mimi naweza kuipata au nifanyeje na mimi niipate niwe msomi kama Mwigamba??
 
Weka ya Mbowe kwanza! Umekaa kizabinazabina mtoto wa kiume ati CV ya Mwigamba! Weka na yako basi! Muulize Dr Slaa au Mbowe wanamfahamu vyema au kurugenzi ya habari ya Chamdomo
 
Weka ya Mbowe kwanza! Umekaa kizabinazabina mtoto wa kiume ati CV ya Mwigamba! Weka na yako basi! Muulize Dr Slaa au Mbowe wanamfahamu vyema au kurugenzi ya habari ya Chamdomo
dawa ya mpuuzi anayeleta upuuzi kama huu ulioleta ni kumpuuza tu!!!!!!!....
 
zitto inabidi awe makini sana

ID zinazomtetea zitto ndio zinatetea CCM, ACT
 
ha ha ha josephin ni mjanja sana,,, sasa hivi anamchuna dr.slaa akifilisika tu anarudi kwa mumewe wa ndoa mahimbo

Slaa keshamfungulia NGO, keshamjengea nyumba! sasa JOSEPHINE anasubiri ahadi aliyopewa ya kuwa MBUNGE wa KAWE!
 
Samson mwigamba alikuwa mwenyekiti wa chadema mkoa wa arusha, wakamuogopa kwa sababu ya elimu yake kubwa wakidhani atawanyang'anya madaraka, sasa ni katibu mkuu wa ACT

Inaonekana inamjua kiundani sana ebu tuambie uume wake size gani?
 
Back
Top Bottom