apewe uhasibu chadema? unaota wewe, kwani jamaa ni wakule kwetu? Na antony komu alienda wape mpaka aupate huo uhasibu. usirudie tena siku nyingine kuandika hiviAna CPA ya uhasibu ndio mana alikuwa mhasibu mkuu wa chadema
vipi CCJ,ADC na CHaumma umeviacha wapi vyama vyako halafu cheo chakom kikubwa cha Lumumba jazz band umekiachaACT mkombozi wa kweli
kama tusivyowaamini mbowe na slaa ambao wote walikua CCM na slaa hajarudisha kadi yakeHivi watanzania tuwaamini vp watu ambao ndani ya mwaka moja ameshakuwa kiongozi vyama viwili tofauti? Na yule mwenyekiti wa ACT naye tunaambiwa ni Katibu mkuu wa ADC, kuna vituko tanzania
ACT mkombozi wa kweli
Maskini Mkulima njoo hapa unaitwaWana JF,
Nani anamjua vizuri ndg Samson Mwigamba. Naomba atuwekee CV yake hapa jf
tupate kumfahamu vizuri.
Mandla
Ana CPA ya uhasibu ndio mana alikuwa mhasibu mkuu wa chadema
Sio ccm tena??? Au unawakombozi wawili.?? Ccm na act teh! Mama na mwana,wanachama wa act ndio hao hao wanachamam wa ccm na hivi vyote ni vyama vya upinzan kwa chadema ..tehtehe kweli chadema chama kubwa .
acha kukariri mkuu, wengi wetu tupo ACT kulaani wahafidhina ndani ya chadomo!
Mbona watu chadema na bavicha mnamuogopa sana Samson Mwigamba??
hivi ni kwa nini hawa buku saba wa ccm lumumba wote ni washabiki wa ACT?
Ana CPA ya uhasibu ndio mana alikuwa mhasibu mkuu wa chadema
muulize muajiri wake wa zamani ndio anajua cv yake
mnatafuta cv za watu ziwasaidie nn? Kazi kutaka kujadili watu tu weka yako tuijue na tukuambie mapungufu yako na mafanikio yako kama unayo.