permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 12,328
- 15,036
Wakuu za jioni?
Niende kwenye mada bila kupoteza muda. Kuna kibanda nimejenga mahali na nimempiga vizuri tu. Tatizo lililopo ni mchwa wanaojipenyeza na kutukezea juu.
Niombe mwenye kujua dawa ya kuwaangamiza hawa wadudu kabla ya kuleta uharibifu mkubwa.
Niende kwenye mada bila kupoteza muda. Kuna kibanda nimejenga mahali na nimempiga vizuri tu. Tatizo lililopo ni mchwa wanaojipenyeza na kutukezea juu.
Niombe mwenye kujua dawa ya kuwaangamiza hawa wadudu kabla ya kuleta uharibifu mkubwa.