Zikwe
JF-Expert Member
- Mar 13, 2013
- 239
- 131
Habari za humu wakuu kiukweli huwa naliona hili neno na kuna mda fulani nmeshawahi kusikia hadi watu wakisifia hili yan wakisema hiv....(simu za siku hizi zina wi-fi siyo masimu ya zaman hayan hata wi-fi ) ..
Yan hapo sikuelewa sifa kubwa ya wifi mpka watu wameamua kusifia hvy nikabaki kimya kwa sababu sielewi chchte .ndiyo mna nmeona bora niulize hili swali ili kidgo nipate kuelewa hasa ....
wifi ni nin??? nin kazi yake na inafanyaje kazi???? je kwa upande wa hizi sim zetu naomba mlolongo mzuri ambayo utanifanya nielewe kwa ufasaha jinsi ya kuinganisha lbda au kuitumia hasa humu kwenye simu hizi(smartphones) nashukuru kwa yeyote atakaenipa ufafanuzi yakinifu kwan ufafanuzi wake ni msaada kwa wengine walio kma mimi
Yan hapo sikuelewa sifa kubwa ya wifi mpka watu wameamua kusifia hvy nikabaki kimya kwa sababu sielewi chchte .ndiyo mna nmeona bora niulize hili swali ili kidgo nipate kuelewa hasa ....
wifi ni nin??? nin kazi yake na inafanyaje kazi???? je kwa upande wa hizi sim zetu naomba mlolongo mzuri ambayo utanifanya nielewe kwa ufasaha jinsi ya kuinganisha lbda au kuitumia hasa humu kwenye simu hizi(smartphones) nashukuru kwa yeyote atakaenipa ufafanuzi yakinifu kwan ufafanuzi wake ni msaada kwa wengine walio kma mimi