Naomba kufahamu kuhusu simu za iphone 6

Naomba kufahamu kuhusu simu za iphone 6

Renas

New Member
Joined
Aug 2, 2019
Posts
1
Reaction score
1
Waungwana naomba kuuliza juu ya iPhone 6
Naomba kujua maximum ya muda wa kukaa na chaji
Na changamoto za hii hii iphone
Asanteni sana
 
Waungwana naomba kuuliza juu ya iPhone 6
Naomba kujua maximum ya muda wa kukaa na chaji
Na changamoto za hii hii iphone
Asanteni sana
Ni moja kati ya simu zenye uwezo mkubwa sana wa kusukuma mwenendo mzima wa katika kile unachokitaka katika simu, na kama ni mpenzi pia wa picha nzuri basi hapo napo utakuwa umefika, na kwa upande wa battery kukaa na moto inategemea tu na matumizi yako haswa kwa upande wa internet. Changamoto kubwa tu ni kwa endapo itatokea umeiangusha kioo kikaharibirika, au ukaharibu charger basi jiandae tafta hela ya gharama za kununulia tecno y3 tatu ili iweze tengemara.
 
Yani kioo chenyewe sio amoled alaf bei yake iwe ya y3 tatu? Acha utan basi
Ni moja kati ya simu zenye uwezo mkubwa sana wa kusukuma mwenendo mzima wa katika kile unachokitaka katika simu, na kama ni mpenzi pia wa picha nzuri basi hapo napo utakuwa umefika, na kwa upande wa battery kukaa na moto inategemea tu na matumizi yako haswa kwa upande wa internet. Changamoto kubwa tu ni kwa endapo itatokea umeiangusha kioo kikaharibirika, au ukaharibu charger basi jiandae tafta hela ya gharama za kununulia tecno y3 tatu ili iweze tengemara.
 
Na Mimi nauliza: Hizi simu bado zinatengenezwa kiwandani au,ni zile zile za 2013 hazijaisha?
IPhone 6 ndo simu iliyouzwa zaidi
Bado mbona zinatengenezwa tu. Kwa sababu kama wangeacha tengeneza zingekuwa zishaisha. Lazima waendelee tengeneza kulingana na mhitaji
 
Hivi kwa sasa hizi simu dukani unaweza kuipata kwa pesa ngapi..
 
Kariakoo au. Shukrani mkuu kama ni bei ya mpya maana juzi kati tu nilitaka kutoa 250K kuchukua used.
Mpya 400 kamili..simu peke yake bila chochote(Accessories) unaipata kwa 380,nimekupa bei za Kariakoo sehemu nyingine inaweza kuwa tofauti.
 
Bado mbona zinatengenezwa tu. Kwa sababu kama wangeacha tengeneza zingekuwa zishaisha. Lazima waendelee tengeneza kulingana na mhitaji
Aisee walijitahidi kutoa toleo lililodumu muda mrefu, tangu 2014.
Najaribu kulinganisha na simu zetu za tecno za 2014
 
Hazitengenezwi mkuu, Ni zile zile za zamani.
Basi walitoa nyingi sana maana ni miaka mi5 sasa bado zinauzwa tu, na % kubwa ya iphone zinazouzwa hapa bongo ni iphone 6. Nadhani sababu ni bei nafuu. Kwa sababu ukigusa iphone 7 na kuendelea lazima uwe na milioni
 
Kama unataka simu kwa ajili ya urembo chukua apple lkn kama unajua unataka simu kwa ajili ya kipigia kazi mtaani na kutukia app nyingi tafuta Android hasa samsung kiliko apple.Kuna samsung series za A10,20,30,40,50 pia kuna m20.... hatari
 
Kama unataka simu kwa ajili ya urembo chukua apple lkn kama unajua unataka simu kwa ajili ya kipigia kazi mtaani na kutukia app nyingi tafuta Android hasa samsung kiliko apple.Kuna samsung series za A10,20,30,40,50 pia kuna m20.... hatari
Umenivuruga kabisa mkuu, coz bado sijaamua ninunue ipi kati ya Samsung A30 na Iphone 6 Plus

Mwenye ushauzi plz
 
Back
Top Bottom