Mim nakushauri uwasiliane nao hao TCU ili wakupe majibu ya uhakika
TCU wanatoa hiyo huduma ya program ya RPL toka 2013. Unachotakiwa ni kufanya registration kwa gharama ya Tshs 50,000/= kwa njia ya online CENTRAL ADMISSION SYSTEM na hiyo hela unalipa kwa njia ya mpesa akaunti namba 1234! Baada ya kufanya registration na kuchagua kozi uitakayo unasubiri kujulishwa siku ya kwenda kufanya mtihani ktk kituo utakachopangiwa. Kwa maelezo zaidi nitumie email address yako nikutumie tangazo lao.
TCU wanatoa hiyo huduma ya program ya RPL toka 2013. Unachotakiwa ni kufanya registration kwa gharama ya Tshs 50,000/= kwa njia ya online CENTRAL ADMISSION SYSTEM na hiyo hela unalipa kwa njia ya mpesa akaunti namba 1234! Baada ya kufanya registration na kuchagua kozi uitakayo unasubiri kujulishwa siku ya kwenda kufanya mtihani ktk kituo utakachopangiwa. Kwa maelezo zaidi nitumie email address yako nikutumie tangazo lao.
Mkuu RPL walishafanya mitihani na wakatoa matokeo na kutaka waliofaulu kuomba vyuo nafikiri waweza kuwa umechelewa.japo kuwapigia mara kwa mara vema watapokea 2 cm
Msaada kwa mtu mwenye division 4 ya 26 ya 2012 nae anaweza kupga msuli wa RPL?