Naomba kufahamu hili la TIA

Billcash

Member
Nov 4, 2016
86
44
Habari wanajf! Naomba kufahamu kama TIA tawi la Dar ( Kurasini) kama wanatoa fungu (fedha) la field ama la kwa mwaka wa pili, Accounting kwa mwaka huu, kwa wanachuo wenye mkopo wa asilimia 80. Mwenye uelewa wa hili tafadhali nijuze.
 
Habari wanajf! Naomba kufahamu kama TIA tawi la Dar ( Kurasini) kama wanatoa fungu (fedha) la field ama la kwa mwaka wa pili, Accounting kwa mwaka huu, kwa wanachuo wenye mkopo wa asilimia 80. Mwenye uelewa wa hili tafadhali nijuze.
Unasoma hapo au una mpango wa kusoma?...
 
Kwenye kupata mkopo wamekuandikia utapata sh ngapi kwenye mafunzo kwa vitendo chuo aihusiki na iyo Bali body ndo inakupa
 
Nahisi hii ni dalili moja wapo ya kutaka kuthibitisha kwamba alichokwambia ni kweli ama sio kwel kwa kuwa umeshapigwa kiswahili ndugu ni bora umpe tu hela ya field maana hatokwambia ukweli uyo ndo mambo ya wanafunzi hayo
 
Back
Top Bottom