Naomba kufahamu bei ya simu aina ya Tecno phantom A2(F8)

Naomba kufahamu bei ya simu aina ya Tecno phantom A2(F8)

Tuambiane tu ukweli, TECNO walibugi mwanzoni pale walipoleta products zao na kungizwa kwenye kundi la products za kichina, japo produts zao zilikuwa na ubora ukilinganisha na zile nyingine za kichina.

Kama mjuavyo, vijana wengi tunaokwenda na wakati hatupendi vitu fake, au majina ya vitu vinavyochukuliwa kuwa fake, thus why tunasita sana kuamini kwamba TECNO ni simu bora ukilinganisha na brands zingine zenye android system, brands kama vile Sony Ericsson, Sony yenyewe, Sumsung, Huawei,Life is Good (LG) etc..

Mimi binafsi nitachukua muda sana kuamini kuwa TECNO ni bora kuliko Sony Xperia ninayoitumia mimi.

Lakini ujue kuwa hata hiyo sony xperia tayari imeshachakachuliwa na zimejaa madukani kibao 150000.kariakoo
 
TECNO siyo cm ya kuicfia. Hta ukiingia GSM Arena huikuti! Camera zao ni mbovuuuu!
 
Ongeeni yoote ila am proud with my TECNO R7.Napata ninachokihitaji katika ulimwengu wa Androids.
 
Mimi mwenyewe hii mambo imenisumbua kichwa sana.Ila nawaambieni ukweli Tecno sio simu ukifananisha na simu nyingine zenye majina za android.Na ukitaka kuamini tumia maana hapa nimeshika samsung galaxy s4 na hiyo tecno phantom yaani ni vitu viwili tofauti ni kama kufananisha usingizi na kifo.Na hili uweze kugundua hili ni lazima uwe nazo zote kwa pamoja.Sio umeenda kununua tecno unatumia unaanza kuisifia wakati Hizi simu nyingine unaziona kwa mbali tuu hautaelewa ninacho ongea hapa.

Tatizo linaanzia hapa.

Mimi kuna siku nilimtembelea rafiki yangu(gf)yeye alikuwa na tecno H6.bahati mbaya nafika kwake s3 yangu ilikuwa imezima chaji.kwahiyo uwanja mpana ukawa kwake kuinadi tekno yake nikaishika kuikagua nikawa naona inaniboa tu,mwenyewe yuko busy kuipamba.hamadi yangu ikawa imejaa chaji nikaiwasha.mh.

Mara ooh,baby hii tecno ina muonekano wa kiume inakufaa wewe.nikaona isiwe shida ilete ila naenda kuiuza ninunue simu inayoeleweka.

Wanaobisha hapa ni wale ambao kwa bahati mbaya anaijua simu(android)akiwa mbele ya mr tecno.embu chunguzeni muone ni kwanini mtu anatoa mil 1.5 kwa ajiri ya simu,ishike uikague.utaichukia simu yako.

Sasa simu inauzwa 3.5 ina internal ya 4GB na 1GB utaweka nini humu uifurahie?????
 
Back
Top Bottom