Naomba kufahamu bei ya Mitsubishi Rosa

Naomba kufahamu bei ya Mitsubishi Rosa

isaghaaah

Member
Joined
Mar 14, 2017
Posts
95
Reaction score
71
Sorry ndugu zangu naomba kuuliza anaejua bei ya Gari Mitsubishi Rosa (used) but not in Tanzania kwa showroom za Dar??
Screenshot_2017-07-13-22-50-50.png


Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Bila shaka hii ni basi, zinatembea mil 45-60

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
 
Unataka kaniambia hiyo ni zaidi ya coaster??

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Kuna mtu alinunua hadi usajiri inaingia road ilimtoka milion 55 ila siyo gari zuri sana kwa trip za town Spair zake ni bei sana maana zipo chache afu zinapenda kusumbua pump
 
Afu zinakuja na seat za watoto kwaiyo lazima ubadili seat zote except ya dereva
 
Kuna mtu alinunua hadi usajiri inaingia road ilimtoka milion 55 ila siyo gari zuri sana kwa trip za town Spair zake ni bei sana maana zipo chache afu zinapenda kusumbua pump
Daaaah , ahsante kwa ushaur... Kwa hiyo bei mbona ipo juu sana... Bora Toyota coaster kama ndio hivyo... Kwa hapa mby hizo Mitsubishi rosa ndo hbr ya mjin kwa shughul za daladala.. Ndo maana nikaomba kujua

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Daaaah , ahsante kwa ushaur... Kwa hiyo bei mbona ipo juu sana... Bora Toyota coaster kama ndio hivyo... Kwa hapa mby hizo Mitsubishi rosa ndo hbr ya mjin kwa shughul za daladala.. Ndo maana nikaomba kujua

Post sent using JamiiForums mobile app
Mkuu hata 50 usilipe. Bora ununue Costa.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Uzuri wa Rosa ile ni jamii ya canter kwaiyo kama upo mkoani afu kuna miinuko miinuko ndo inafaa maana ina nguvu hiyo bus tofauti na coaster kama ni mbeya Chukua Rosa maana ni tofauti na Dar gari inakuwa inapiga trip nyingi kuliko uwezo wake Rosa ni nzuri kwa mikoani kutokana na miinuko kwa coaster itachoka mapema ASANTE am talking according to my experience
 
Uzuri wa Rosa ile ni jamii ya canter kwaiyo kama upo mkoani afu kuna miinuko miinuko ndo inafaa maana ina nguvu hiyo bus tofauti na coaster kama ni mbeya Chukua Rosa maana ni tofauti na Dar gari inakuwa inapiga trip nyingi kuliko uwezo wake Rosa ni nzuri kwa mikoani kutokana na miinuko kwa coaster itachoka mapema ASANTE am talking according to my experience
Indeed thanks sir.... Kwa hiyo nibebe tu hiyo hiyo Mitsubishi rosa??

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Yaah ofcoz canter ni gar imara sana,, zinatumika sana huku mby kubeba mizigo, basi kiongoz usichoke ntakapotaka kujua zaid ntaomba ushaur

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Sorry ndugu zangu naomba kuuliza anaejua bei ya Gari Mitsubishi Rosa (used) but not in Tanzania kwa showroom za Dar?? View attachment 542131

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Rosa ni ceap 35 mpaka 40 unapata, coaster ni ghali ukilinganisha na rosa.
Faida za rosa over coaster ni vipuri bei rahisi, huyo anae kwambia kua rosa sijui ina nguvu milimani kuliko coaster hajui. Toyota coaster ni gari ya ghali ukilinganisha na rosa nanina dumu na kuvumilia pia tatizo ni gharama za vipuri na matangenezo, rosa ina dumu na ni ngumu pia, uzuri zaidi ni unafuu wa spea zake.
 
Back
Top Bottom