Hiko gramu ngapi?Habari wanajamvi....naomba msaada kujua wapi ninaweza nikauza silver maana nimejaribu kuzurura posta ila wote wananiambia hawanunui silver.Yoyote anaejua wapi wananunua silver naomba anisaidie.
Mbona kama unazingua umesema unauza Silver then unapoteaHabari wanajamvi....naomba msaada kujua wapi ninaweza nikauza silver maana nimejaribu kuzurura posta ila wote wananiambia hawanunui silver.Yoyote anaejua wapi wananunua silver naomba anisaidie.
Gramu 7Gram ngapi?
Gramu 7
Ni pete 2Oi mkuu hiyo silver ni Bracelet au cheni ya shingoni?
ina Gram ngapi naitaka
Sorry simu ilipasuka kioo...so ndo nimeifixMbona kama unazingua umesema unauza Silver then unapotea
weka picha mkuuAnaehitaji kununua anicheki 0763969066