Naomba kufahamishwa sifa za blood group "O+" positive

Damu kundi "O" limegawanyika katika makundi mawili ambayo ni "O" Negative(Hasi) na "O" Positive (Chanya).
Katika kundi hilo wenye kundi Chanya wana Tabia nyingi sana amabzo weyewe hawajijui kama tabia hizo ni asili ya damu kudi hilo.

1.WENGI NI WAPENDA NGONO
Asilimia kubwa ya watu wenye kundi hili la damu wanapenda sana ngono kuliko kitu kingine,haswa wanaume wenye damu kundi hili wanapenda wanawake wenye makalio makubwa, wao hawaangalii sura,ili mwanamke amaye amejazia nyuma ndio wanavutiwa zaidi.
Kwa wanawake wenye damu kundi hili pia nao wanapenda sana mchezo huu,wana mvuto wa kupendwa nna wanaume.

2.NI WASEMAJI SANA
Asilimia kubwa ya watu wenye damu kundi hili wanapenda sana kusema(ni wachangamfu) haswa katika jamii ya watu.

3.NI WATOAJI WAZURI
Wengi wa watu wenye kundi hili wana moyo wa kutoa kuliko kupokea,huwa hawapendi wenzao wapate shida ila wengi wana asili ya kuutangaza msaada wao ukiwaudhi.

4.MARADHI.
Maradhi makubwa yanayowasumbua ni malaria,kichwa kuuma upande mmoja(kipanda uso),mafua au kutoka damu za pua haswa wanapokula nyama,maziwa.

5.NGIRI
Kwa wanaume wenye damu kundi hili asilimia kubwa wana maradhi ya tumbo kujaa gesi haswa wanapokula baadhi ya vyakula haswa chipsi.

6.WANAFANANA NA WATOTO WAO
Wengi wakizaa huwa wanafanana sana na watoto wao iwe sura,tabia au mwendo na mara nyingi katika maisha yao huishi au kuzaa na mpenzi zaidi ya mmoja.

ALAMA ZAO
Alama kubwa za watu wenye damu kundi hili ni kuwasha na masikio kwa ndani,fangasi za vidole vya miguu kwa wanaume na kwa wanawake vidole vya mikono haswa wakifua,pua kuwasha kwa ndani.


Uko sawa. Napenda wanawake wenye tako laini ili nilale hapo. Napenda nisaidie mtu mwenye matatizo, malaria inanisumbua sana hasahasa nikishatumia kilevi. Namba 6 uko sawa kabisa. Malaria 0+ wansumbuliwa sana sababu mbu wanapenda hii group kuliko grup zingine.
 
Damu kundi "O" limegawanyika katika makundi mawili ambayo ni "O" Negative(Hasi) na "O" Positive (Chanya).
Katika kundi hilo wenye kundi Chanya wana Tabia nyingi sana amabzo weyewe hawajijui kama tabia hizo ni asili ya damu kudi hilo.

1.WENGI NI WAPENDA NGONO
Asilimia kubwa ya watu wenye kundi hili la damu wanapenda sana ngono kuliko kitu kingine,haswa wanaume wenye damu kundi hili wanapenda wanawake wenye makalio makubwa, wao hawaangalii sura,ili mwanamke amaye amejazia nyuma ndio wanavutiwa zaidi.
Kwa wanawake wenye damu kundi hili pia nao wanapenda sana mchezo huu,wana mvuto wa kupendwa nna wanaume.

2.NI WASEMAJI SANA
Asilimia kubwa ya watu wenye damu kundi hili wanapenda sana kusema(ni wachangamfu) haswa katika jamii ya watu.

3.NI WATOAJI WAZURI
Wengi wa watu wenye kundi hili wana moyo wa kutoa kuliko kupokea,huwa hawapendi wenzao wapate shida ila wengi wana asili ya kuutangaza msaada wao ukiwaudhi.

4.MARADHI.
Maradhi makubwa yanayowasumbua ni malaria,kichwa kuuma upande mmoja(kipanda uso),mafua au kutoka damu za pua haswa wanapokula nyama,maziwa.

5.NGIRI
Kwa wanaume wenye damu kundi hili asilimia kubwa wana maradhi ya tumbo kujaa gesi haswa wanapokula baadhi ya vyakula haswa chipsi.

6.WANAFANANA NA WATOTO WAO
Wengi wakizaa huwa wanafanana sana na watoto wao iwe sura,tabia au mwendo na mara nyingi katika maisha yao huishi au kuzaa na mpenzi zaidi ya mmoja.

ALAMA ZAO
Alama kubwa za watu wenye damu kundi hili ni kuwasha na masikio kwa ndani,fangasi za vidole vya miguu kwa wanaume na kwa wanawake vidole vya mikono haswa wakifua,pua kuwasha kwa ndani.
Upuuuuzi tuuu
 
Damu kundi "O" limegawanyika katika makundi mawili ambayo ni "O" Negative(Hasi) na "O" Positive (Chanya).
Katika kundi hilo wenye kundi Chanya wana Tabia nyingi sana amabzo weyewe hawajijui kama tabia hizo ni asili ya damu kudi hilo.

1.WENGI NI WAPENDA NGONO
Asilimia kubwa ya watu wenye kundi hili la damu wanapenda sana ngono kuliko kitu kingine,haswa wanaume wenye damu kundi hili wanapenda wanawake wenye makalio makubwa, wao hawaangalii sura,ili mwanamke amaye amejazia nyuma ndio wanavutiwa zaidi.
Kwa wanawake wenye damu kundi hili pia nao wanapenda sana mchezo huu,wana mvuto wa kupendwa nna wanaume.

2.NI WASEMAJI SANA
Asilimia kubwa ya watu wenye damu kundi hili wanapenda sana kusema(ni wachangamfu) haswa katika jamii ya watu.

3.NI WATOAJI WAZURI
Wengi wa watu wenye kundi hili wana moyo wa kutoa kuliko kupokea,huwa hawapendi wenzao wapate shida ila wengi wana asili ya kuutangaza msaada wao ukiwaudhi.

4.MARADHI.
Maradhi makubwa yanayowasumbua ni malaria,kichwa kuuma upande mmoja(kipanda uso),mafua au kutoka damu za pua haswa wanapokula nyama,maziwa.

5.NGIRI
Kwa wanaume wenye damu kundi hili asilimia kubwa wana maradhi ya tumbo kujaa gesi haswa wanapokula baadhi ya vyakula haswa chipsi.

6.WANAFANANA NA WATOTO WAO
Wengi wakizaa huwa wanafanana sana na watoto wao iwe sura,tabia au mwendo na mara nyingi katika maisha yao huishi au kuzaa na mpenzi zaidi ya mmoja.

ALAMA ZAO
Alama kubwa za watu wenye damu kundi hili ni kuwasha na masikio kwa ndani,fangasi za vidole vya miguu kwa wanaume na kwa wanawake vidole vya mikono haswa wakifua,pua kuwasha kwa ndani.
Nina o+ ila tangu nijitambue sijawahi kuumwa malaria, Mafua mwaka tunaweza pita bila bila
 
Vya ugonjwa siyo kweli mm malaria ckumbuki lini niliugua makalia bila kuangalia sura na kutoa misaada kweli kabisa kuongea kweli
 
Sio kweli,O rh -anazaa vizuri bila shida akiwa na mume Orh-,coz kiumbe atakua ni Orh- kwahyo hitakua shida kwa mama,,shida inakuja kama mama ni rh + na baba no rh-,kiumbe atakua rh+ kama baba yake,so mama atatengeneza antibodies agaist rh+ ya mtoto,mtoto wa kwanza atazaa vizuri,shida itakua kwa mtoto atakayefuata
Exactly mr
Na watu watoe hofu ktk hili atakapo zaa mtt wa kwanza ni muhimu kuwahi kupata chanjo inayoitwa anti D ili kuondoa zile rh + kwa mama ili mimba nyngn iweze kukuA vzr.
 
mimi pia ni o+ na wife ni A+ =je mtoto wetu atakuwa kundi gani?
ee092f39c42996b4edd090b927aa51f4.jpg
Kuna uwezekano (probability) wa kupata mtoto/watoto wenye "blood group A au O pekee.

Kwa lugha nyingine ni kwamba uzao wenu wote (yaani watoto ote mtakao zaa) ni lazima wawe katika makundi mawili tu ya damu (A/O), kwa sababu, Mme ukiwa na blood gp A unakuwa na Vinasaba/jini za blood gp O pia ingawa haiwezi kuonekana kwa sababu zimejificha (recessive) kwenye jini A na Mke akiwa blood gp O maana yake ana jini 2 (OO) ambazo zote ni recessive.

So ukifanya crossing hapo (AOxOO) watoto mtakakuwa mnawapata ni AO (blood gp A) na OO (blood gp O).

Kama Mme una blood gp A na Mke ana blood gp O, ikitokea mmepata mtoto/watoto wenye blood gp zingine (AB, B) mbali na blood gp A au O, basi mjuwe kuwa mtoto/watoto hao (AB, B) watakuwa wametoka nje ya ndoa.
 
Asante mkuu tuna club yetu tunajuana, unajua pia sisi damu twaweza mpa yeyote lakini sisi twapeana wenyewe tu? Nashukuru Mungu pia ninae mtu wa karibu sana mwenye group hii ambae tunashea nae mpaka DNA, my lovely daughter.

Mkuu;
Yaani hii sifa ndio ambayo nadhani mleta hojaalitakiwa aijue. Sisi tu wachache saana kwa kweli. Tunaweza mpa kila mtu damu lakini hatupokei ya group nyingine. Na mimi nitaenda chunguza katika familia yangu. Huenda pia akawa ni huyu binti yangu. Sikujua kama Tz kuna mwingine. Ningetamani jamani tufahamiane tu just in case.
 
Damu kundi "O" limegawanyika katika makundi mawili ambayo ni "O" Negative(Hasi) na "O" Positive (Chanya).
Katika kundi hilo wenye kundi Chanya wana Tabia nyingi sana amabzo weyewe hawajijui kama tabia hizo ni asili ya damu kudi hilo.

1.WENGI NI WAPENDA NGONO
Asilimia kubwa ya watu wenye kundi hili la damu wanapenda sana ngono kuliko kitu kingine,haswa wanaume wenye damu kundi hili wanapenda wanawake wenye makalio makubwa, wao hawaangalii sura,ili mwanamke amaye amejazia nyuma ndio wanavutiwa zaidi.
Kwa wanawake wenye damu kundi hili pia nao wanapenda sana mchezo huu,wana mvuto wa kupendwa nna wanaume.

2.NI WASEMAJI SANA
Asilimia kubwa ya watu wenye damu kundi hili wanapenda sana kusema(ni wachangamfu) haswa katika jamii ya watu.

3.NI WATOAJI WAZURI
Wengi wa watu wenye kundi hili wana moyo wa kutoa kuliko kupokea,huwa hawapendi wenzao wapate shida ila wengi wana asili ya kuutangaza msaada wao ukiwaudhi.

4.MARADHI.
Maradhi makubwa yanayowasumbua ni malaria,kichwa kuuma upande mmoja(kipanda uso),mafua au kutoka damu za pua haswa wanapokula nyama,maziwa.

5.NGIRI
Kwa wanaume wenye damu kundi hili asilimia kubwa wana maradhi ya tumbo kujaa gesi haswa wanapokula baadhi ya vyakula haswa chipsi.

6.WANAFANANA NA WATOTO WAO
Wengi wakizaa huwa wanafanana sana na watoto wao iwe sura,tabia au mwendo na mara nyingi katika maisha yao huishi au kuzaa na mpenzi zaidi ya mmoja.

ALAMA ZAO
Alama kubwa za watu wenye damu kundi hili ni kuwasha na masikio kwa ndani,fangasi za vidole vya miguu kwa wanaume na kwa wanawake vidole vya mikono haswa wakifua,pua kuwasha kwa ndani.

Aiseeeeeee big up sana ndugu you must be a well experienced doctor , yaani mule mule isipokuwa kutangaza msaada. Hongera
 
Damu kundi "O" limegawanyika katika makundi mawili ambayo ni "O" Negative(Hasi) na "O" Positive (Chanya).
Katika kundi hilo wenye kundi Chanya wana Tabia nyingi sana amabzo weyewe hawajijui kama tabia hizo ni asili ya damu kudi hilo.

1.WENGI NI WAPENDA NGONO
Asilimia kubwa ya watu wenye kundi hili la damu wanapenda sana ngono kuliko kitu kingine,haswa wanaume wenye damu kundi hili wanapenda wanawake wenye makalio makubwa, wao hawaangalii sura,ili mwanamke amaye amejazia nyuma ndio wanavutiwa zaidi.
Kwa wanawake wenye damu kundi hili pia nao wanapenda sana mchezo huu,wana mvuto wa kupendwa nna wanaume.

2.NI WASEMAJI SANA
Asilimia kubwa ya watu wenye damu kundi hili wanapenda sana kusema(ni wachangamfu) haswa katika jamii ya watu.

3.NI WATOAJI WAZURI
Wengi wa watu wenye kundi hili wana moyo wa kutoa kuliko kupokea,huwa hawapendi wenzao wapate shida ila wengi wana asili ya kuutangaza msaada wao ukiwaudhi.

4.MARADHI.
Maradhi makubwa yanayowasumbua ni malaria,kichwa kuuma upande mmoja(kipanda uso),mafua au kutoka damu za pua haswa wanapokula nyama,maziwa.

5.NGIRI
Kwa wanaume wenye damu kundi hili asilimia kubwa wana maradhi ya tumbo kujaa gesi haswa wanapokula baadhi ya vyakula haswa chipsi.

6.WANAFANANA NA WATOTO WAO
Wengi wakizaa huwa wanafanana sana na watoto wao iwe sura,tabia au mwendo na mara nyingi katika maisha yao huishi au kuzaa na mpenzi zaidi ya mmoja.

ALAMA ZAO
Alama kubwa za watu wenye damu kundi hili ni kuwasha na masikio kwa ndani,fangasi za vidole vya miguu kwa wanaume na kwa wanawake vidole vya mikono haswa wakifua,pua kuwasha kwa ndani.
MKUU ungesema kweli tupu. Hebu elezea na Makundi mengine kama A+, B+, AB+.
 
Katika utafiti uliofanywa na Shirika la Afya Duniani (WHO) mwaka 2006 nchini Thailand, ulibaini kuwa watu wenye kundi A la damu wako katika hatari kubwa ya kupata saratani ya kinywa, tezi za mate na umio. Lakini pia utafiti huo ulibainisha kuwa watu wenye kundi B wana hatari kubwa ya kupata saratani ya koo.
Kundi A pia limekuwa likihusishwa na ongezeko la kutokea kwa saratani mbalimbali ikiwa ni pamoja na ya mishipa ya fahamu, utumbo, mifuko ya mayai, mfuko wa kizazi na mlango wa kizazi kwa wanawake. Tafiti zingine zinabainisha kuwa watu wenye kundi A na B, wana uwezo mkubwa wa kukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu, lakini pia watu wenye kundi AB wana uwezo mkubwa zaidi wa kukabiliana na ugonjwa huo.
Ahsante sana mkuu
 
Njoo inbox nikwambie..
Haya ndo mambo yasiyokua na maana ktk jamii.jambo dogo hili kama inalijua na mtu ameuliza hadharani we unamwambia aje inbox ndo nini sasa! hii ni kama ushamba
 
Mkuu;
Yaani hii sifa ndio ambayo nadhani mleta hojaalitakiwa aijue. Sisi tu wachache saana kwa kweli. Tunaweza mpa kila mtu damu lakini hatupokei ya group nyingine. Na mimi nitaenda chunguza katika familia yangu. Huenda pia akawa ni huyu binti yangu. Sikujua kama Tz kuna mwingine. Ningetamani jamani tufahamiane tu just in case.
hahaha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom