Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,484
Habari yenu wakuu?
Mi naomba tu kwa wale wenyeji wa Mbeya, au hata ambao wamewahi kufika tu watoe uzoefu wao hapa jamvini kwa faida yangu na wengine wote ambao wako interested kupafahamu Mbeya.
Sijali sana eneo, sijui Kyela au wapi wapi, nataka kujua sehemu zote tu.
1. Gharama za maisha zikoje ukilinganisha na sehemu nyingine? (Chakula,Nyumba za kupanga mf. chumba kimoja cha self au chumba na sebule kinaweza kupatikana kwa bei gani? )
2. Hali ya hewa?
3. Biashara gani ambayo haijasambaa sana (mf. Maduka ya nguo za watoto/watu wazima, restaurants, saluni,internet café n.k)
4. Shule nzuri za chekechea kuanzia 2yrs (gharama na upatikanaji).
5. . .na vitu vingine vingine tu ambavyo unadhani mgeni akijua vitamsaidia. Haswa anaefikiria kuhamia Mbeya na kuanza maisha.
Mi naomba tu kwa wale wenyeji wa Mbeya, au hata ambao wamewahi kufika tu watoe uzoefu wao hapa jamvini kwa faida yangu na wengine wote ambao wako interested kupafahamu Mbeya.
Sijali sana eneo, sijui Kyela au wapi wapi, nataka kujua sehemu zote tu.
1. Gharama za maisha zikoje ukilinganisha na sehemu nyingine? (Chakula,Nyumba za kupanga mf. chumba kimoja cha self au chumba na sebule kinaweza kupatikana kwa bei gani? )
2. Hali ya hewa?
3. Biashara gani ambayo haijasambaa sana (mf. Maduka ya nguo za watoto/watu wazima, restaurants, saluni,internet café n.k)
4. Shule nzuri za chekechea kuanzia 2yrs (gharama na upatikanaji).
5. . .na vitu vingine vingine tu ambavyo unadhani mgeni akijua vitamsaidia. Haswa anaefikiria kuhamia Mbeya na kuanza maisha.