vibertz
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 1,339
- 2,483
Habari wanajukwaa humu ndani. naomba kufahamishwa ni timu zipi zitakazofuzu kati ya hizi timu tatu ambazo zinalingana point. Inatakiwa kufuzu timu mbili tu.
Kuna timu A, timu B na timu C zote zina sawa sawa ila walipokutana wenyewe kwa wenyewe matokeo yao yalikuwa kama ifuatavyo:
Mfano
1) Timu A vs Timu B matokeo 3:1
2) Timu B vs Timu C matokeo 2:0
3) Timu C vs Timu A matokeo 3:1
4) Timu B vs Timu A matokeo ni 1:1
5) timu A vs timu C matokeo 2:0
6) timu C vs timu B matokeo 1:0
7)Timu D vs timu timu A matokeo. 3:1
8)Timu D vs B matokeo 0:1
9) Timu D vs C matokeo 2:2
10) Timu A vs D matokeo 3:2
11) Timu C vs timu D matokeo 2:0
12) Timu B vs timu D matokeo 2:0
Je kwa matokeo ya aina hiyo juu timu ipi ambayo inatolewa kwa sheria ya head to head kati ya timu hizo tatu?
Kuna timu A, timu B na timu C zote zina sawa sawa ila walipokutana wenyewe kwa wenyewe matokeo yao yalikuwa kama ifuatavyo:
Mfano
1) Timu A vs Timu B matokeo 3:1
2) Timu B vs Timu C matokeo 2:0
3) Timu C vs Timu A matokeo 3:1
4) Timu B vs Timu A matokeo ni 1:1
5) timu A vs timu C matokeo 2:0
6) timu C vs timu B matokeo 1:0
7)Timu D vs timu timu A matokeo. 3:1
8)Timu D vs B matokeo 0:1
9) Timu D vs C matokeo 2:2
10) Timu A vs D matokeo 3:2
11) Timu C vs timu D matokeo 2:0
12) Timu B vs timu D matokeo 2:0
Je kwa matokeo ya aina hiyo juu timu ipi ambayo inatolewa kwa sheria ya head to head kati ya timu hizo tatu?