Mkuu hadi mwezi wa tatu mwishoni ilkuwa ni milion 80!! Kichwa tuu!!ila ile treiler ni ni 220 milion kama ukiagiza kenya (mombasa)hadi kufika hapa!!ila kwa ushauri zaidi kama uko dar!nenda vingunguti pale scania kwa maelezo zaidi nadhani pale utapata mwongozo zaidi!!Wanajamvi naomba anaejua bei ya semitrailer kama zile zinazosafirisha mbao kutoka Iringa anifahamishe. Naomba bei ya kichwa na ile flatbed. New and used. Asanteni
Duh, aina gani ya Gari?, Mbaura 682 nini?Milioni 50 nakupa kichwa na trela maongezi yapo!
Duh, aina gani ya Gari?, Mbaura 682 nini?
Mkuu wee umepata kwa bei gani!!Milioni 50 nakupa kichwa na trela maongezi yapo!
Ni langu mwenyewe tukielewana naliuza.Mkuu wee umepata kwa bei gani!!