Naomba kueleweshwa kuhusu Outlender na Suzuki Escudo

Mdadamwema.

Senior Member
Aug 7, 2014
150
169
Salaam wakuu,

Naomba mwenye uelewa na uzoefu wa magari haya, Mitsubishi outlender na Suzuki escudo, hasa kwenye utumiaji wake wa mafuta na upatikanaji wa spare parts bila kusahau uimara wake.

Asanteni.
 
Back
Top Bottom