Madam Ritha Massawe
Senior Member
- Sep 25, 2021
- 106
- 82
Naomba kujua ni vitu gani vya kufungasha from Dar to kusini na inaitaji mtaji wa kuanzia kiasi gani?
Kanunue korosho then wiki ijayo minada ikianza upge pesa
Nenda sana na vitu vya kuvaa, (yeboyebo, ndala , viatu vya kike, vitatu vya shule chupi nk matumizi ya nyumbani kama vile (mafuta ya kujipaka ,dawa za meno,
Zingatia : Viwe vya bei nafuu na tembea minadani zaidi
Kwako Miss Massawe