jofujulius09
Senior Member
- Mar 9, 2017
- 105
- 50
Habar wazee naomb msaad anaejua ku create system user interface msaad wenu jamani!#
ya kufanya kazi gani?Habar wazee naomb msaad anaejua ku create system user interface msaad wenu jamani!#
Yoyote ile km vile web system,e commerce ivo yanya kufanya kazi gani?
ok unaitaji kutengenezewa au?Yoyote ile km vile web system,e commerce ivo yan
Noooo!! Nataka kujifunz mkubwa au kma kuna link ya web ambayo inaeleza utaratibu mzima ntumie niicheki!!ok unaitaji kutengenezewa au?
User interface ni muonekano wa nje wa system yoyote hata website au app. Hicho unachokiona hata kwenye jamii forum ya website au app ni user Interface. Sasa elezea swali lakoHabar wazee naomb msaad anaejua ku create system user interface msaad wenu jamani!#
Ndio mkuuu nachohitaji kujua namn ya kutengenez interface ya information system yan code zip ntatumia na hatua zipi ili niunde system ya website umensom mkuuUser interface ni muonekano wa nje wa system yoyote hata website au app. Hicho unachokiona hata kwenye jamii forum ya website au app ni user Interface. Sasa elezea swali lako
Na programming language ipi ntaitumia mzee!!Ndio mkuuu nachohitaji kujua namn ya kutengenez interface ya information system yan code zip ntatumia na hatua zipi ili niunde system ya website umensom mkuu