Ubungo external,mita kama 100 toka Mandela road,fuata njia ya kwenda Kisukuru,mkono wa kushoto ukitokea Buguruni/kulia ukitokea RiversideHabari zenu wakuu,
Nimeitwa kwenye interview mamlaka ya chakula na dawa (TFDA), itakayofanyika kwenye ofisi zao. Naombeni kuuliza, ofisi zao zipo wapi? kwa hapa Dar es salaam kwa anaejua. Naombeni msaada wenu jamani, mimi nipo mbagala.
Ahsanteni!
Ashuke kwenye daladala Mabibo External achukue boda boda ni elfu moja tu wanamfikisha chap chap anashuka bila majasho anaingia interrview akiwa msafiMakao makuu yapo Mabibo external karibu Na Export trading zone authority, kwahiyo shuka kituo cha mabibo external muulize mtu yoyote atakuonyesha
Perfect fata ushauri wa huyu jamaa kiofisi zaidi wanafanyia VictoriaKama sijakosea nimewahi kuona bango kubwa la TFDA pale Victoria kama unaelekea Morocco if am not mistaken, just confirm first dude
Acha uwongo wewe...! Kutoka kituo cha external hadi ilipo mamlaka yenyewe ni mwendo wa dakika tano kwa kutembea kwa miguu! Hapo bodaboda ya nini? Au wewe ni dereva bodaboda unatafuta ulaji?...Ashuke kwenye daladala Mabibo External achukue boda boda ni elfu moja tu wanamfikisha chap chap anashuka bila majasho anaingia interrview akiwa msafi
Habari zenu wakuu,
Nimeitwa kwenye interview mamlaka ya chakula na dawa (TFDA), itakayofanyika kwenye ofisi zao. Naombeni kuuliza, ofisi zao zipo wapi? kwa hapa Dar es salaam kwa anaejua. Naombeni msaada wenu jamani, mimi nipo mbagala.
Ahsanteni!
Hiyo barua ya kuitwa interview hawajakwambia inafanyika wapi ofisi zilipo?Habari zenu wakuu,
Nimeitwa kwenye interview mamlaka ya chakula na dawa (TFDA), itakayofanyika kwenye ofisi zao. Naombeni kuuliza, ofisi zao zipo wapi? kwa hapa Dar es salaam kwa anaejua. Naombeni msaada wenu jamani, mimi nipo mbagala.
Ahsanteni!
Atachafuka viatu na vumbi kwa kutembea inabidi afike smart boda boda watasaidia hiloAcha uwongo wewe...! Kutoka kituo cha external hadi ilipo mamlaka yenyewe ni mwendo wa dakika tano kwa kutembea kwa miguu! Hapo bodaboda ya nini? Au wewe ni dereva bodaboda unatafuta ulaji?...
Njia hiyo ina vumbi tokea lini? Halafu umejuaje mleta mada hana usafiri wake, humu jf kila mtu anausafiri wewe...Atachafuka viatu na vumbi kwa kutembea inabidi afike smart boda boda watasaidia hilo
Hiyo barua ya kuitwa interview hawajakwambia inafanyika wapi ofisi zilipo?