Mnaosema utumish wa umma mpaka kufukuzwa et kazingua sana jibu n hapana skuiz hata ukishndwa kuelewana na hr au supervisor wako wakikuundia zengwe unaandikiwa termination chap tu bila barua za onyo wala kalipio kali na utaambiwa kama uridhik na majibu ya kamati ya nidham kakate rufaa tume apo ndio tayar washakutoa kwenye reli, Tume kesi inaweza kukaa zaid ya mwaka mmoja na nusu haijafanyiwa kaz na kpnd chote iko huingiziw mshahara na badae watatoa majibu rahis tu kua maamuz ya kamati ya nidham yalkua sahii ndio umeondoka kwenye systm 100%.. pole sana kaka mpka ukasimame inahitaj moyo wa ajabu sana au Mungu akufungulie njia upate ktu cha kufanya kupunguza njaa apo nyumban
Najua unachopitia na ndicho nlchoptia jiandae kisaikolojia kupoteza watu wote uliokua unaamn ndio washkaj zako ndugu zako wa karbu na ujismamie mwenyew