Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 15,143
- 16,215
MENDE ambaye hajafa lakini maana akifa anafanana na yale mambo yetu na kinadada
kuna mmoja hapa anasema anaitwa nyenzenyesele,,
wale wa masasi
Kifo cha mende
Nyenje.
Huyo cc tunamuita nyenze, mara nyingi huwa wanaonekana kipindi cha mvua
Wanakaa kwenye miti, huwa wanalia kwa kutoa sauti kalii hadi wanapasuka na ndo unakuwa mwisho wa maisha yao
NyenzeNi kweli, ndivyo hufanya hivyo, lakini jina lake sijui.
Hahahahahuyu ni nyegele anapenda kukaa kwenye nguo za ndani za kinadada saingine huwa anawatekenya unaweza kumkuta mdada anachekacheka mwenyewe au anakimbilia kupost uzi wa kinyegenyege humu,ukiona hivo ujue huyu mdudu yupo kule
Nyenze