Naomba idadi ya matofali kujenga nyumba hii

Naomba idadi ya matofali kujenga nyumba hii

Ukitaka maelezo zaidi ni pm.. Kwenye hizi residential za kawaida huwa hamna haja ya utaalamu sana hata mtu wa kawaida unaweza ukajitengenezea schedule of materials
 
hello wakuu...

nina ramani ya nyumba upana mita 7.5 na urefu mita 16.5....sawa na squaremeter 123.75

haina mikunjo mingi sana ila ina sebule ya 4.5by 5m dining,coridoer,,jiko..stoo..masters...vyumba viwili vya kulala na public toilet moja na front veranda ...kiwanja kitakua na slope kiasi..sio sana....naomba makadirio ya matofali...cement..mchanga n.k..design ya paa bado ila kama utweza kunipatia nitashukuru....

asanteni wakuu

mkuu haujawa straight na maelezo yako, lakini nimeweza kukokotoa idadi ya tofali utakazo hitaji kujenga boma (sijagusia msingi, because its provisional);

reasonable assumptions


  • size ya madirisha ni 1.5x1.5m, 1x1.5m, na 0.9x0.9m
  • size ya milango ni 0.9x2.1m high
  • opennings (windows and doors) take up 43m[SUP]2[/SUP]
  • building height 3.2m

for that matter, walls form 234m2
kama tofali zitalazwa, utatumia approx tofali 2810
kama tofali zitasimamishwa, utatumia approx tofali 2110

Topic inasema unahitaji idadi ya tofali...so mengine nitafute some other time..
 
.ila hofu yangu ilikua nisije nikampa go ahead ya plan ambayo itakua haitekelezeki au inatekelezeka kwa gharama ambayo sijajiandaa....wengi huwa tunafail apo tunaishia kujenga makumbusho.....

mkuu, unachotakiwa kufanya ni kumueleza huyo architect wako budget yako, ili yeye afanye design kulingana na mfuko wako (designing to a cost) na sio ku design kwanza ndo ujue gharama (costing the design).

sijapenda kuatach ile first draft hapa kuhofia kuharibu kazi yake au kugawa plan bure....naomba nieleweke hivyo

Lakini mkuu, inakuaje unataka estiimates za bure wakati wewe hutaki kutoa draft bure?? just asking..
 
Okh! Basi ushauri tafuta fundi aende site ndio atakushauri vizuri. Seheme zenye muinuko zinakula tofali na cement acha masihara
 
Kama umevote kwa Lowasa leo tegemea kujenga nyumba bila hata kuuliza itachukua sijui tofali ngapi au misumari mingapi kwani vitu especially vya ujenzi vitashuka bei,naamin hilo linawezekana.
 
mkuu haujawa straight na maelezo yako, lakini nimeweza kukokotoa idadi ya tofali utakazo hitaji kujenga boma (sijagusia msingi, because its provisional);

reasonable assumptions


  • size ya madirisha ni 1.5x1.5m, 1x1.5m, na 0.9x0.9m
  • size ya milango ni 0.9x2.1m high
  • opennings (windows and doors) take up 43m[sup]2[/sup]
  • building height 3.2m

for that matter, walls form 234m2
kama tofali zitalazwa, utatumia approx tofali 2810
kama tofali zitasimamishwa, utatumia approx tofali 2110

topic inasema unahitaji idadi ya tofali...so mengine nitafute some other time..

asante sana mkuu..nimeambatanisha ramani tayari
 
Ramani nimeiona, ndo maana nikakupa hizo estimates...

Mimi sio mtaalamu lakini hiyo plani ya kuweka public toilet hapo kilipo nadhani ina matatizo.
Yaani mgeni akija kwako akitaka kwenda kujisaidia anapiga inspection nyumba yoote mpaka afike toilet! Au wataalamu mnasemaje hapo? mchepuko
 
Last edited by a moderator:
hiyo ramani peke yake naona itakuumiza sana, itakuingiza kwenye gharama kubwa sana kwa kuwa ni nyumba ya kawaida lakini imesambaa mnooo....kama utapokea ushauri huu,mwambie mchoraji wako adisaini nyumba economy, say 7m kwa 10m na ikawa na vyote hivyo katika ramani yako ya mwanzo
 
hiyo ramani peke yake naona itakuumiza sana, itakuingiza kwenye gharama kubwa sana kwa kuwa ni nyumba ya kawaida lakini imesambaa mnooo....kama utapokea ushauri huu,mwambie mchoraji wako adisaini nyumba economy, say 7m kwa 10m na ikawa na vyote hivyo katika ramani yako ya mwanzo

Kula likes mkuu... Jamaa atakuwa kachorewa na mwanfunzi wa mwaka wa pili ili kupunguza design fees....
 
Njoo inbox upewe ramani nzuri sana na cost effective hiyo uliyonayo itakugharimu pesa nyingi alafu sio design nzuri, nikimaanisha functional units haziko organized vizuri.
 
Ujenzi wa nyumba ni msingi, ukikamilisha msingi kwa viwango hasa hapo Goba nyumba imekwisha, kuna minemba/slope ya kufa mtu na udongo wenye mnato ambao ni hatari, Kifusi chake kufunika mashimo ya msingi kinatakiwa kiwe chenye Mchanga mchafu kuzuia nyumba isije kupasuka
 
View attachment 302892

Hello wakuu...

Nina ramani ya nyumba upana mita 7.5 na urefu mita 16.5... sawa na square meter 123.75

Haina mikunjo mingi sana ila ina sebule ya 4.5 by 5m dining, corridor, jiko, stoo, masters... vyumba viwili vya kulala na public toilet moja na front veranda.

Kiwanja kitakua na slope kiasi, sio sana...

Naomba makadirio ya matofali, cement, mchanga n.k. Design ya paa bado ila kama utaweza kunipatia nitashukuru...

Asanteni wakuu

Kwanza hongera kwa hatua unayotaka kuifanya. Mimi najikita kwenye msingi, msingi wako andaa tofali kama 2000, cement mifuko 70. Mchanga weka trip 5 za fuso
 
Kwa details hizo tu unategemea upata hesabu ya tofali na kuchorewa paa?
Huyo aliyekuchorea ramani kama ni mtaalam halali ana uwezo wa kukupa estimation za vitu vyote hivyo unavyovitaka, ni dakika mbili tu wala haichukuwi muda.
Mh,.. Ujenzi kazi ngumu aisee
 
Back
Top Bottom