Asalaam aleykum wakuu.
Kwa wale wenzangu mnaoendelea na funga kutimiza amri ya Allah hongereni sana maana hili ni jambo bora kabisa ukiwa hapa duniani.
Kuna jambo moja nataka niwashirikishe leo hii ila naomba nisieleweke vibaya miongoni mwenu kwani najua baadhi yenu ni wahanga mmeshakutana nayo haya.
1.Mtu kafunga ila anaomba pesa ya futari kutoka kwa hawala yake ,yaani vibomu vya futari kila kona.
2.Ikikaribia sikukuu vibomu vinahamia kwenye nguo ya sikukuu.
Wanawake ndio wanaongoza kwa hili.
Inakera sana bandugu.
Kwa wale wenzangu mnaoendelea na funga kutimiza amri ya Allah hongereni sana maana hili ni jambo bora kabisa ukiwa hapa duniani.
Kuna jambo moja nataka niwashirikishe leo hii ila naomba nisieleweke vibaya miongoni mwenu kwani najua baadhi yenu ni wahanga mmeshakutana nayo haya.
1.Mtu kafunga ila anaomba pesa ya futari kutoka kwa hawala yake ,yaani vibomu vya futari kila kona.
2.Ikikaribia sikukuu vibomu vinahamia kwenye nguo ya sikukuu.
Wanawake ndio wanaongoza kwa hili.
Inakera sana bandugu.