John_Anthony JF-Expert Member Mar 27, 2024 275 400 Mar 29, 2024 #1 Jaman wana JF mwenye connection ya kazi naomba kuunganishwa tafadhari, nimejaribu kuomba kazi viwanda kadhaa hapa mbeya lakini hakuna mafanikio yoyote, kama kuna mtu anaweza kunisaidia nitashukuru sana π
Jaman wana JF mwenye connection ya kazi naomba kuunganishwa tafadhari, nimejaribu kuomba kazi viwanda kadhaa hapa mbeya lakini hakuna mafanikio yoyote, kama kuna mtu anaweza kunisaidia nitashukuru sana π
aise JF-Expert Member May 16, 2018 4,253 12,637 Mar 29, 2024 #2 Njoo Tanzania mkuu! Mikoani siyo Tanzania π Karibu bongo Daresalam
John_Anthony JF-Expert Member Mar 27, 2024 275 400 Mar 29, 2024 Thread starter #3 S aise said: Njoo Tanzania mkuu! Mikoani siyo Tanzania π Karibu bongo Daresalam Click to expand... Sasa huko sijawahi fika mkuu wala hakuna ndugu huko π
S aise said: Njoo Tanzania mkuu! Mikoani siyo Tanzania π Karibu bongo Daresalam Click to expand... Sasa huko sijawahi fika mkuu wala hakuna ndugu huko π
S Soulja boy JF-Expert Member Oct 3, 2015 3,178 5,626 Mar 29, 2024 #4 Umeenda viwandan kabisa kuomba?
aise JF-Expert Member May 16, 2018 4,253 12,637 Mar 29, 2024 #5 John Makuku said: S Sasa huko sijawahi fika mkuu wala hakuna ndugu huko π Click to expand... Wewe njoo tu, yaani kama ulivyotoka tumboni mwa mama na kuja duniani, ndiyo hivyo hivyo toka Mkoani njoo Tanzania, Bongo Daresalam π
John Makuku said: S Sasa huko sijawahi fika mkuu wala hakuna ndugu huko π Click to expand... Wewe njoo tu, yaani kama ulivyotoka tumboni mwa mama na kuja duniani, ndiyo hivyo hivyo toka Mkoani njoo Tanzania, Bongo Daresalam π
Mtoto halali na hela JF-Expert Member Aug 10, 2012 49,456 43,949 Mar 29, 2024 #6 aise said: Wewe njoo tu, yaani kama ulivyotoka tumboni mwa mama na kuja duniani, ndiyo hivyo hivyo toka Mkoani njoo Tanzania, Bongo Daresalam π Click to expand... ππ
aise said: Wewe njoo tu, yaani kama ulivyotoka tumboni mwa mama na kuja duniani, ndiyo hivyo hivyo toka Mkoani njoo Tanzania, Bongo Daresalam π Click to expand... ππ
DR HAYA LAND JF-Expert Member Dec 26, 2017 18,874 47,842 Mar 29, 2024 #7 Elezea vizuri aina gani ya kazi wataka Elimu yako , Umri Namba ya simu Be specific mr