Buku huwa naombwa na mateja, sometimes nawapa sometimes nawapotezea.
Gf au mchepuko kuniomba buku?! Sijswahi kutoka na mtu wa aina hio.
Ushauri:jiweke standard fulani hata ukiwa na shida ya 1000 omba 10,000....
Buku huwa naombwa na mateja, sometimes nawapa sometimes nawapotezea.
Gf au mchepuko kuniomba buku?! Sijswahi kutoka na mtu wa aina hio.
Ushauri:jiweke standard fulani hata ukiwa na shida ya 1000 omba 10,000....
sasa huyo mwenzio kaombwa buku kaumia mpaka kaanzisha thread akiombwa 10000 si tutamzika kwa pressure. zamani wanaume walikuwa na vifua ila sikuhizi imekua kinyume