Naomba ajira

Naomba ajira

baby seky

Member
Joined
Apr 18, 2019
Posts
10
Reaction score
13
Mimi ni binti wa miaka 26 elimu yangu stashahada ya utunzaji fedha. Ila sichagui kazi kikubwa iwe tu ya halali 🙏kwa kua hali ngumu.

Kazi ambazo naweza kufanya
  • Utunzaji stoo
  • Mapokezi
  • Mauzo (sales officer)
Napatikana Kibaha, Pwani.
 
Mimi ni binti wa miaka 26 elimu yangu stashahada ya utunzaji fedha
Ila sichagui kazi kikubwa iwe tu ya halali 🙏kwa kua hali ngumu kazi ambazo naweza kufanya
Utunzaji stoo
Mapokezi
Mauzo(sales officer
Napatikana kibaha pwani
Hiyo stashahada yako ya utunzaji fedha, kwa kingereza inaitwaje?
 
Uwe na Subira na Allah akufanyie wepesi hitaji lako!
 
Mimi ni binti wa miaka 26 elimu yangu stashahada ya utunzaji fedha. Ila sichagui kazi kikubwa iwe tu ya halali 🙏kwa kua hali ngumu.

Kazi ambazo naweza kufanya
  • Utunzaji stoo
  • Mapokezi
  • Mauzo (sales officer)
Napatikana Kibaha, Pwani.
Umesomea stashahada ya utunzaji fedha Ili uje kutunza fedha za nani? Za watu au?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom