Naogopa...........

Naogopa...........

ERIK

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2013
Posts
623
Reaction score
315
Najua hapa kuna wengi wana akili zao na waelewa japo wengne huwa siwaelewi but naombeni ushauri wenu:-

Nina kama miez 2 imepita tangu niwe kwenye maisha ya u single boy baada ya niliyekuwa nampenda kunifanyia kitu mbaya saana, ki ukweli nahisi kuhitaji kuwa na mpenz coz sina friends wala ndugu weng wa kunishauri wala kuni kampani, tatizo nahofia kutendwa tena na je nitaamini vp na kumpata vipi mwenye mapenzi ya kweli na ya kudumu coz sijawah na siwez kuwa na girl wa shot time au wa kupita tuu!!

naombeni ushauri wenu juu ya hili swala ndugu zangu nifanye nini??
 
^^
Usitafute mapenzi..mapenzi ya kweli hufika kwa wakati wake
^^
 
Wanawake wazuri na wenye sifa za kuolewa huja kwa mipango yake Mungu na si vile tutakavyo sisi wanadamu hivyo ni vyema kuwa na subira, utampata tu wa haki yako.
 
Wanawake wazuri na wenye sifa za kuolewa huja kwa mipango yake Mungu na si vile tutakavyo sisi wanadamu hivyo ni vyema kuwa na subira, utampata tu wa haki yako.

asante mkuu kwa ushauri mzuri,
 
Najua hapa kuna wengi wana akili zao na waelewa japo wengne huwa siwaelewi but naombeni ushauri wenu:-

Nina kama miez 2 imepita tangu niwe kwenye maisha ya u single boy baada ya niliyekuwa nampenda kunifanyia kitu mbaya saana, ki ukweli nahisi kuhitaji kuwa na mpenz coz sina friends wala ndugu weng wa kunishauri wala kuni kampani, tatizo nahofia kutendwa tena na je nitaamini vp na kumpata vipi mwenye mapenzi ya kweli na ya kudumu coz sijawah na siwez kuwa na girl wa shot time au wa kupita tuu!!

naombeni ushauri wenu juu ya hili swala ndugu zangu nifanye nini??

Nilitaka kupita kimya kimya nikajikuta akili inaulazimisha mkono kuandika kitu ....
ERIK, ukiona gari limepata ajali utaacha kupanda magari kabisa kwa sababu magari hupata ajali? Uoga si hoja ya msingi.

Anyway, tukiacha suala la uoga, Ni miezi miwili tu immepita tangu ujeruhiwe kimapenzi, kwanini usijipe muda na kutafakari mahusiano yako yaliyopita na chanzo cha wewe kutendwa? Kwanini unataka ku-rush kupata mwingine bila kutathmini makosa yaliyotokea mwanzo? Haufahamu kuwa kuanza mahusiano kwa haraka bila kufanya uchunguzi wa kina unaweza kukusababishia kukutana na matatizo kama yale yale?
 
Last edited by a moderator:
Relax Bro! Enjoy ya singleness. Jipe muda wa kutuliza akili yako na tumia muda wako kwa hekima, panga mambo yako wala hutakua na wenge wala nini nini. But excercise responsibly.
 
Najua hapa kuna wengi wana akili zao na waelewa japo wengne huwa siwaelewi but naombeni ushauri wenu:-

Nina kama miez 2 imepita tangu niwe kwenye maisha ya u single boy baada ya niliyekuwa nampenda kunifanyia kitu mbaya saana, ki ukweli nahisi kuhitaji kuwa na mpenz coz sina friends wala ndugu weng wa kunishauri wala kuni kampani, tatizo nahofia kutendwa tena na je nitaamini vp na kumpata vipi mwenye mapenzi ya kweli na ya kudumu coz sijawah na siwez kuwa na girl wa shot time au wa kupita tuu!!

naombeni ushauri wenu juu ya hili swala ndugu zangu nifanye nini??


ushauri
wewe huitaji g/friend,unahitaji mke.
kitendo cha kuachwa kinashabihiana na kukaa na watu wasiothamini mahusiano,haiwezekani kama ungekuwa na mke haya yasingekufika.
Mwombe MUNGU akupe wa kumwoa (wa kuishi naye mpaka mmoja wenu afe) na siyo G/friend ingawa sikukatazi kuwa na g/f,ni muhimu kwa ushauri na mabo mengine ya maisha ya kila siku.
siku hizi hawa wa kuokota njiani wana mengi na moja ya kero walizonazo na ambazo zinaweza kukuacha mdomo wazi ni kama:

kuachwa
magonjwa hasa UKIMWI,
kumwaga siri zenu hadharani,
kukuachia gundu na hata kupelekea kutopata mwingine kamwe.

jaribu kuwa mvumilivu,omba kwa mola akupe hitaji la kudumu ndani ya moyo wako
.
 
Kwenye break up sijawah kuona mtu mwenye positive reason ya kwanin mahusiano yamevunjika! Kila mtu atamlaumu mwenzake! Na kwa attitude hiyo inakuwa ngumu kujirekebisha na kuendelea kurudia makosa yale yale na kujikuta uko kwenye cycle of pains n heart broke!

check ur issues first ndo ufanye maamuz!
 
eti miezi miwili, unaogopa.... subiri ukue dogo uoe!
 
naungana na HorsePower hapo juu. Usiogope kuumizwa tena, na wala usiyakurupukie sahv kuponya donda la kuumizwa. Take your time, fkria kwa umakini sababu wa yaliyopita kutokea na unataka huyo ajae aweje.
 
Last edited by a moderator:
usikurupuke ili kuuepuka huo u single boy utaangukia za uso tena, tulia tu utampata wa kukufaa.
 
usikurupuke ili kuuepuka huo u single boy utaangukia za uso tena, tulia tu utampata wa kukufaa.

ni kweli but nitatulia na kusubiri mpaka lini?? kinachonisumbua zaidi ni kukosa muda wa kutosha na kujua jinsi ya kupata mke bora
 
naungana na HorsePower hapo juu. Usiogope kuumizwa tena, na wala usiyakurupukie sahv kuponya donda la kuumizwa. Take your time, fkria kwa umakini sababu wa yaliyopita kutokea na unataka huyo ajae aweje.

ooooh, thanks but ki ukweli binafsi nakuwa sina kampani na nachujua na ninavyoishi mpenz wangu ndo kampani yangu kubwa sana!! Asante saaana kwa ushauri
 
miezi miwil michache sana bado unataka mda kidogo watakuja wenyewe usijali. ukifanya kwa uwoga utaingia pagumu zaidi.

sort out mwanamke gani unataka ka kwenye viwanja vyao kama ni mshika dini hudhuria ibada, kama ni mfanyakazi au mfanyabiashara kaa kwenye mikato yao, ka ujui yupi unataka jitahidi kuzurura zurura utapata tu
 
Back
Top Bottom