jamani mwenzenu miye nina miaka 23 ila naogopa kupenda sasa, maana nilipendaga kama mara mbili hivi mademu wakanizinguaga so yaani hadi sasa nawachukia mademu wote, ila tatizo ashiki bana zinanizingua sijui nifanyaje?
Hebu weka picha yako ili nikushauri vizuri.Anyway tafuta wa size yako acha kuchukua visu alafu we generator au huna hela kila siku utazidi kutulilia.
na nikitaka kuoa
ID yako inasomeka me4u jee na huyo u nae kakuzingua pia!!
jamani mwenzenu miye nina miaka 23 ila naogopa kupenda sasa, maana nilipendaga kama mara mbili hivi mademu wakanizinguaga so yaani hadi sasa nawachukia mademu wote, ila tatizo ashiki bana zinanizingua sijui nifanyaje?
mtafute MziziMkavu ana dawa za kuondoa ashiki inaitwa VASECTOMY
Kama anacho, hakitumii na anaogopa kukitumia, si bora tu akeketwe?Kwenda unataka kumuhasi mtoto wa watu awe ndafu mapema hii.
kumbe wengi mnamalizia m,ashida kwa mbizi kweli tabu sana aiseeumekuwa SILENT WHISPERHamfugi mbuzi mbuzi hapo nyumbani?
Endelea na puli achana na mademu dogo!