Naogopa Kuoa Dar

Una OA kijijini na unakaa nae huko huko kijijini....πŸ₯±πŸ₯±
 
Hawa bodaboda wanakula kila aina ya mademu...ni shida sana.
 
Hii issue huwa inazungumzwa kama masihara lakini lazima sisi tunaojitambua sasa tujiulize kuhusu vizazi vyetu.

Leo hivi miaka ishirini ijayo sijui hali itakuwaje na hapo ndiyo wanangu watakuwa wanataka waendeleze kizazi huu ni msiba mzito.
 
WEWE SIO MUOAJI.
Katika mamilioni ya wanawake walioko Dar unasema hakuna mwanamke wa kuoa!!!!
NINA MASHAKA NA WEWE.
 
Hali mbaya ya maisha
 
Mimi naamini katika maendeleo na mitandao hii imefanya uone watu wanaharibika na sio dar tu hata mikoani wapo wewe ukimpata wa kupendana naye mshikiliane uache tamaa tu wake wapo hata mtaani kwetu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mbususu kama hii uende ukamuoe, unatakuwa unatafuta balaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…