usisahau kuweka Stamp,barua imfikie On time......
hapo kwenye blue aisee mie ni muumini mzuri sana wa kuskilizia sign za warembo na mara nyingi na mimi hua nawakubali kiaina so nackilizia sign...i.e kujipitisha pitisha, mara asimame mbele yako bila sababu za msingi..kuvunga vunga mixa na macho ya kuibia ibia nin hua napretend kama si mchori..ila ni full tatizo linakuja nikishaanza onesha interest tu daaah bhass mtoto ataanza kuachenga mixa kuzingua zingua mpaka mzee naaamsha kwa nisio wakubali sasa tatizo sijui nin am i too fast or am i too slow..? daah ishara hizi au ndo anataka consistency full kujislidisha etc etc mpaka nashindwaga kuwasoma vizuri yan...!!!Huu ni utamaduni tuliojijengea kwamba mwanamke akitamka haraka haraka kuwa anakupenda itakuwa kama amejirahisisha.
Ndio maana sasa jambo hilo linakuwa gumu kwake.
Halafu kitu kingine kwa utamaduni wetu mwanamke hatongozi mwanaume ila huwa anaonesha ishara.
Hata tamka bali ataonesha ishara za kukupenda.
Man! unatakiwa uwe mwelewa maana mara nyingi hawa wenzetu hutumia ishara mara nyingi.
Wanaume hutamka kutoka mdomoni, wakati wanawake hulitoa neno hilo moyoni, Hivyo ni lazima wanahakikisha kwamba linatoka moyoni
Naulza!! Wanawake wengi wanaogopa kumwambia mwanaume kuwa anampenda, tofauti na mwanaume ambae haraka sana atasema.ni kwa nini? Aibu inatoka wapi wakat mwanamke ndo alikuwa wa kwanza kuasi bustan ya eden? (Sijasema kuwa aliasi mapenz kwnye bustan ya eden)...
Mbona kuomba ela haoni aibu?