Naogesha mtoto

Naogesha mtoto

NGASEKU MDOGO

Member
Joined
Mar 20, 2013
Posts
50
Reaction score
10
Waungwana majibu haya yatasababisha ugomvi: Ilikua jmos niko pande za majengo moshi napata Noah ugali bhana meza ya karibu jamaa naye WA gereji ya karibu na maeneo hayo alikua anapata kitimoto( Noah) choma na ugali; jamaa akamsabahi vipi bwana naona unapiga ugali hapo majibu aliyopewa saaa..... umeona vibaya bwana naogesha mtoto hapa daaaaaaaaah imekaa pouaa hii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom