Naoa, karibuni sana

Naoa, karibuni sana

Achana na Michepuko sasa!!Hakikisha unatulia katika ndoa Yako na kuacha kufahamiana na wengine wa pembeni
 
Kilalaher mkuu ndoa njema dada yang umtunze co ukamtese

Nkiskia anateseka nakuja na pipi la mbege chaliaang

ahahahaha usijali nitaendelea kumtumza kama mboni ya jicho langu...
 
Jambo la heri hilo maadam umeamua hongera kwa kupata wako.
 
Hongera... wengine bado tupo tupo kwanza....

ZABURI 127:1 "Bwana asipojenga nyumba waijengao wafanya kazi bure, Bwana asipolinda mji yeye aulindaye akesha bure"
mshirikishe Mungu kwa kila jambo ili ndoa yenu iwe yenye baraka.
 
wanawake wazuri wazuri wanaolewa tu yanabaki manung'aembe yanahangaika

Utasikia dada anajiita yeye mzuri wakati hata pete ya uchumba hajawahi kuvalishwa teh teh teh

Hongera mkuu

Aiseee wapo waliovalishwa pete za uchumba huu mwk wa 3, na wapo ambao hawakuvalishwa za uchumba kabsa wenyew walivalishwa za ndoa moja kwa moja..
 
mkuu kuwa makini coz mara nying wapare huwa wanauwa wame zao
 
Hongera... wengine bado tupo tupo kwanza....

ZABURI 127:1 "Bwana asipojenga nyumba waijengao wafanya kazi bure, Bwana asipolinda mji yeye aulindaye akesha bure"
mshirikishe Mungu kwa kila jambo ili ndoa yenu iwe yenye baraka.

Asante sana mdau..
 
Mungu akujaalie na akuongoze katika safari ambayo unaenda kuianza mkiwa wawili ndani ya mwili mmoja.
 
Back
Top Bottom