Naoa, karibuni sana

Naoa, karibuni sana

Kilalaher mkuu ndoa njema dada yang umtunze co ukamtese

Nkiskia anateseka nakuja na pipi la mbege chaliaang
 
Karibu kwenye chama cha walala uchi ndugu, baada ya mwezi usiogope kuleta malalamiko madogomadogo mfano, jamani wife anaharibu ukuta wa nyumba, mala jamani wife ananinunia tutakusaidia kwa hekma na busara
 
Hongera mkuu japo michepuko huta acha coz dada zetu wa kichagga ni zero kabisa 6*6!
 
Mhmh hata karibu tuje kula chakula cha pamoja jaman,wengine tupo karibu na sehemu tukio litakapo fanyika,taarifa hajakamilika banah
 
wanawake wazuri wazuri wanaolewa tu yanabaki manung'aembe yanahangaika

Utasikia dada anajiita yeye mzuri wakati hata pete ya uchumba hajawahi kuvalishwa teh teh teh

Hongera mkuu

Na utuachee na unungaembe wetu,hao wazur wanaoolewa mbona kutwa kuchwa washinda hapa MMU kutuelezea matatizo ya ndoa zao??
Na hao waume zao kutwa kuhangaika na michepuko(manunga embe)kama ndoa tam watulizane wasikuje hapa fyuuuuum!
 
wanawake wazuri wazuri wanaolewa tu yanabaki manung'aembe yanahangaika

Utasikia dada anajiita yeye mzuri wakati hata pete ya uchumba hajawahi kuvalishwa teh teh teh

Hongera mkuu

Hao wazuri wanamwagiwaga maji ya baraka na kila mtu tu
 
Hongera mkuu Mungu aibariki ndoa yenu iwe ya upendo, amani na kuvumiliana
 
Mhmh hata karibu tuje kula chakula cha pamoja jaman,wengine tupo karibu na sehemu tukio litakapo fanyika,taarifa hajakamilika banah

Uko wapi, Moshi au Mtwara?
 
Back
Top Bottom