mabesela
JF-Expert Member
- Mar 14, 2014
- 1,294
- 680
Wanajamvi,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Baada ya kukaa muda mrefu katika mahusiano ya uchumba hatimaye nimekata shauri kumuoa kabisa binti wa watu. Watu wa Kilimanjaro ndo shemeji zangu hapa maana naja oa huko Moshi kesho J'mos Tar 03 Oct na tafrija itafanyika Mtwara-LA VILLE NOUVELLE HOTEL.
Ambao wameshaoa naomba kukaribishwa kwenye maisha mapya na ambao hawajaoa kwaherini kwenye ukapela.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Baada ya kukaa muda mrefu katika mahusiano ya uchumba hatimaye nimekata shauri kumuoa kabisa binti wa watu. Watu wa Kilimanjaro ndo shemeji zangu hapa maana naja oa huko Moshi kesho J'mos Tar 03 Oct na tafrija itafanyika Mtwara-LA VILLE NOUVELLE HOTEL.
Ambao wameshaoa naomba kukaribishwa kwenye maisha mapya na ambao hawajaoa kwaherini kwenye ukapela.