Naoa, karibuni sana

Naoa, karibuni sana

mabesela

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2014
Posts
1,294
Reaction score
680
Wanajamvi,

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.

Baada ya kukaa muda mrefu katika mahusiano ya uchumba hatimaye nimekata shauri kumuoa kabisa binti wa watu. Watu wa Kilimanjaro ndo shemeji zangu hapa maana naja oa huko Moshi kesho J'mos Tar 03 Oct na tafrija itafanyika Mtwara-LA VILLE NOUVELLE HOTEL.

Ambao wameshaoa naomba kukaribishwa kwenye maisha mapya na ambao hawajaoa kwaherini kwenye ukapela.
 
Wanajamvi,

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.

Baada ya kukaa muda mrefu katika mahusiano ya uchumba hatimaye nimekata shauri kumuoa kabisa binti wa watu. Watu wa Kilimanjaro ndo shemeji zangu hapa maana naja oa huko Moshi kesho J'mos Tar 03 Oct na tafrija itafanyika Mtwara-LA VILLE NOUVELLE HOTEL.

Ambao wameshaoa naomba kukaribishwa kwenye maisha mapya na ambao hawajaoa kwaherini kwenye ukapela.


Mkeo ni mmachame,mkibosho au mmarangu??
 
wanawake wazuri wazuri wanaolewa tu yanabaki manung'aembe yanahangaika

Utasikia dada anajiita yeye mzuri wakati hata pete ya uchumba hajawahi kuvalishwa teh teh teh

Hongera mkuu
 
Aseeh jamaa kaopoa kajiko kake ...hongera zako bwashe
 
wanawake wazuri wazuri wanaolewa tu yanabaki manung'aembe yanahangaika

Utasikia dada anajiita yeye mzuri wakati hata pete ya uchumba hajawahi kuvalishwa teh teh teh

Hongera mkuu

Mbona unawasimanga sasa dada zetu..
Asante mkuu
 
Back
Top Bottom