Nanunua simu Nanunua simu Nanunua simu

Nanunua simu Nanunua simu Nanunua simu

Stv Mkn

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2012
Posts
328
Reaction score
275
Nanunua simu yenye uwezo wa kufungua Instagram na whatsapp,,isiwe imetumika sana michubuko isiwepo..ya aina yoyote...bei isizidi laki na nusu
Aliye tayari tuwasiliane basi....
 
Nanunua simu yenye uwezo wa kufungua Instagram na whatsapp,,isiwe imetumika sana michubuko isiwepo..ya aina yoyote...bei isizidi laki na nusu
Aliye tayari tuwasiliane basi....
Wakiwa wengi, Wengine wahamishie kwangu
 
Tuletee picha kwanza lisije kuw ni lichina
 
Laki na nusu?
Kweli mwaka wa mchina kukamata soko umewadia
 
Nanunua simu yenye uwezo wa kufungua Instagram na whatsapp,,isiwe imetumika sana michubuko isiwepo..ya aina yoyote...bei isizidi laki na nusu
Aliye tayari tuwasiliane basi....

nicheki hewani ninazo mpyaaa kwa box
 
Mcheck huyu jamaa ana samsung galaxy pocket ......0718999987 anaitwa you...nyeusii haina scratch hta mojaaa
 
ata mie natafuta smartfone,,mwenye nayo anirushie namba nimtafute kwa pm au hapa,,,ila namie nataka ya chee nimpe dogo
 
mi nina htc tytn windows mobile . but bei 230k
inakila upuuzi.anaejiweza
anitafute.0713297066 0765377506
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom