nanunua motherboard mbovu

nanunua motherboard mbovu

chaUkucha

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2012
Posts
3,382
Reaction score
1,220
mtu yeyote mwenye motherboard mbovu zikiwa nyingi ni vizuri zaidi lakini hata zikiwa 3 au 4 sio mbaya nikaja kuchukua kukuondolea takataka maana zipo tu lakini huzitumii PM or call on 0732 928530
 
motherboard za kitu gani?.................bango linaelea hewani hilo h
 
Mie ninazo mbili za hp dv 6000 na dell inspiron, hebu nipe ofa yako mkuu nikupe
 
Mkuu uwanja ni wako, wewe ndo mwenye uhitaji taja bei ukiyonayo mie nakuachia mzigo
 
nadhani ninazo kama Sita hivi kila moja elfu hamsini...

Nzima vipi nazo unanunua?
 
nadhani ninazo kama Sita hivi kila moja elfu hamsini...

Nzima vipi nazo unanunua?

mkuu motherboard mbovu@ elfu 50 am sure huna kazi nazo tena so punguza bei PLZ...!
 
mtu yeyote mwenye motherboard mbovu zikiwa nyingi ni vizuri zaidi lakini hata zikiwa 3 au 4 sio mbaya nikaja kuchukua kukuondolea takataka maana zipo tu lakini huzitumii PM or call on 0732 928530

Je, bado unahitaji hizi kitu? Niko nazo nadhani kama 3 hivi; ila pamoja na hoja yako ya kusaidia kuondoa taka, itabidi ulipie kidogo hiyo huduma ya kuniondolea taka! Kama bado wahitaji sema tupange pengine tuonane Jumamosi hii
 
me nina fijitsu siemens,,, haina adapter wala haina hard disk... ninayo kitambo sanaaaaaaaaa...!!! hadi kioo chake bado kipo.. vp unanipa how much hapo.?
 
Back
Top Bottom