Nanunua Mayai

Nanunua Mayai

Itzmusacmb

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2016
Posts
1,531
Reaction score
1,138
Kama wewe Ni mfugaji Wa kuku Wa kizungu na Una mayai na makazi,yako Ni Dar es salaam Mimi nanunua mayai
Njoo hapa tufanye biashara
 
Weka namba yako ya sim pia taja bei unayonunua Kwa tray 1 ya mayai...
Wafugaji wakuelewe vizuri

Ova
 
Nanunua Mayai elfu 6 kwa Trey na nazifwata popote zilipo kwa Dar es salaam
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom