Nanunua Copper ore

Nanunua Copper ore

changman

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2011
Posts
229
Reaction score
90
Habari wana JF

Mimi nina mzungu mmoja ananunua copper ore (mawe yenye copper) kutoka kwa wachimbaji wadogo popote pale tanzania. Kama mtu anachimba copper au anamfahamu mtu anayechimba copper, tunawezafanya biashara nzuri. Unachotakiwa kufanya ni kama wewe ni mchimbaji, ukishachimba hiyo copper yako huyu mzungu anakuja kuichukua hapo hapo mgodini kwako. Usafiri ni juu yake. Ni-pm kwa mwenye copper.
 
Nenda pande za Kahama eneo la karibu na Mgodi wa Bulyanhulu mana kule ore yao ina copper
 
Back
Top Bottom