Katika Kinyang'anyiro cha Urais 2015 nani anafaa zaidi kati ya Januari Makamba na Dr. John Nchimbi?
Hii inadhihirisha kwamba CCM ina hazina kubwa ya viongozi,wanachama wana wigo mpana wa kuchagua.........sio pale Ufipa street (chadomo) kila siku walewale, wakijitokeza wengine eti ni wahaini,wasaliti wazandiki na shutuma kibao