Arusha imechafuka na kuingia katika historia kwa sababu ya huyu mama. Kila siku tunasikia Mary Chitanda (wengine wanaita Chatanda). Ukisikia uchaguzi wa Meya umekwama Arusha utaambiwa kwa sababu ya Mary Chitanda.
Hivi huyu mama anaweza kuingia kwenye mkutano usiomhusu bila ridhaa ya watu wengine? Hivi anavyojieleza anautoa wapi ujasiri ule wa kifisadi kama siyo kuna mtu nyuma yake? Ukweli ni kwamba yeye ni mbunge wa kuteuliwa kuwakilisha mkoa wa Tanga amealikwa na nani kuhudhuria mkutano wa madiwani Arusha? Hivi angeenda Tanga kuhudhuria mkutano vile vile nani angemzuia na kwa vigezo gani? kwanini aje Arusha na asiende Tanga.
Nafasi aliyonayo Mary Chitanda pale Arusha ni ya kichama na utaratibu wa Chama ni tofauti na ule wa serikali za mitaa ambayo ndiyo inayoratibu shughuli za kanuni na utaratibu katika uwakilishi wa madiwani. Madai ya Mary Chitanda kwamba kila chama kinaamua kuwa mbunge wa vitu maaulum awakilishe eneo fulani ndiyo ulioamua yeye awakilishe mkoa wa Tanga, alikuja Arusha kufanya nini?
Tunaomba uongozi toka ngazi zinazohusika kwani jina la Mary Chitanda linatuumiza masikio. Huyo anayemtumia huyo mama akome kufanya ujinga huo. Watu wanauawa Arusha kwa sababu ya Mary Chitanda halafu wengine wanalaumu Chadema. Huyo mama aogopwe kama ukoma maana kuna shetani nyuma yake.
Hivi huyu mama anaweza kuingia kwenye mkutano usiomhusu bila ridhaa ya watu wengine? Hivi anavyojieleza anautoa wapi ujasiri ule wa kifisadi kama siyo kuna mtu nyuma yake? Ukweli ni kwamba yeye ni mbunge wa kuteuliwa kuwakilisha mkoa wa Tanga amealikwa na nani kuhudhuria mkutano wa madiwani Arusha? Hivi angeenda Tanga kuhudhuria mkutano vile vile nani angemzuia na kwa vigezo gani? kwanini aje Arusha na asiende Tanga.
Nafasi aliyonayo Mary Chitanda pale Arusha ni ya kichama na utaratibu wa Chama ni tofauti na ule wa serikali za mitaa ambayo ndiyo inayoratibu shughuli za kanuni na utaratibu katika uwakilishi wa madiwani. Madai ya Mary Chitanda kwamba kila chama kinaamua kuwa mbunge wa vitu maaulum awakilishe eneo fulani ndiyo ulioamua yeye awakilishe mkoa wa Tanga, alikuja Arusha kufanya nini?
Tunaomba uongozi toka ngazi zinazohusika kwani jina la Mary Chitanda linatuumiza masikio. Huyo anayemtumia huyo mama akome kufanya ujinga huo. Watu wanauawa Arusha kwa sababu ya Mary Chitanda halafu wengine wanalaumu Chadema. Huyo mama aogopwe kama ukoma maana kuna shetani nyuma yake.