jason
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 315
- 163
ar u ke or me?
Mtu kasema kazoe kutongozwa, afu wauliza ni ke au ni me mi naona tukuullize wewe ru ke or me
ar u ke or me?
Mtu kasema kazoe kutongozwa, afu wauliza ni ke au ni me mi naona tukuullize wewe ru ke or me
.Sheria namba moja ya kutongoza ya mwaka 1967 kifungu A, kifungu kidogo cha (iii) na (iv)
(iii) Ni marfuku mwanamke kumtongoza mwanamme yeyote wala kumtega kama hajui kusoma na kuandika kiswahili kwa ufasaha
(iv) mwanamme atakayetongozwa na mwanammke asiyejua kusoma na kuandika kiswahili kwa ufasaha, endapo atakubaliana tongozo hilo, atapewa adhabu ya kuvuta jiwe la kilo 10 kwa kutumia kengele zake, jiwe hilo litafungwa kamba ya manila. (kama John English)
Sheria namba moja ya kutongoza ya mwaka 1967 kifungu A, kifungu kidogo cha (iii) na (iv)
(iii) Ni marfuku mwanamke kumtongoza mwanamme yeyote wala kumtega kama hajui kusoma na kuandika kiswahili kwa ufasaha
(iv) mwanamme atakayetongozwa na mwanammke asiyejua kusoma na kuandika kiswahili kwa ufasaha, endapo atakubaliana tongozo hilo, atapewa adhabu ya kuvuta jiwe la kilo 10 kwa kutumia kengele zake, jiwe hilo litafungwa kamba ya manila. (kama John English)
we unaliona legelege kukatika halitakatika ila cha moto utakiona.Duuh!! likifungwa kamba ya manila si litakatika
we unaliona legelege kukatika halitakatika ila cha moto utakiona.