Morgan james
Member
- May 21, 2012
- 28
- 1
Coz mimi swala hli laniumiza kichwa coz nimezoea kutongozwa na caca nimempenda m2 what can i do jaman.
Coz mimi swala hli laniumiza kichwa coz nimezoea kutongozwa na caca nimempenda m2 what can i do jaman.
Coz mimi swala hli laniumiza kichwa coz nimezoea kutongozwa na caca nimempenda m2 what can i do jaman.
Sheria namba moja ya kutongoza ya mwaka 1967 kifungu A, kifungu kidogo cha (iii) na (iv)
(iii) Ni marfuku mwanamke kumtongoza mwanamme yeyote wala kumtega kama hajui kusoma na kuandika kiswahili kwa ufasaha
(iv) mwanamme atakayetongozwa na mwanammke asiyejua kusoma na kuandika kiswahili kwa ufasaha, endapo atakubaliana tongozo hilo, atapewa adhabu ya kuvuta jiwe la kilo 10 kwa kutumia kengele zake, jiwe hilo litafungwa kamba ya manila. (kama John English)
Sheria namba moja ya kutongoza ya mwaka 1967 kifungu A, kifungu kidogo cha (iii) na (iv)
(iii) Ni marfuku mwanamke kumtongoza mwanamme yeyote wala kumtega kama hajui kusoma na kuandika kiswahili kwa ufasaha
(iv) mwanamme atakayetongozwa na mwanammke asiyejua kusoma na kuandika kiswahili kwa ufasaha, endapo atakubaliana tongozo hilo, atapewa adhabu ya kuvuta jiwe la kilo 10 kwa kutumia kengele zake, jiwe hilo litafungwa kamba ya manila. (kama John English)
kha!! mbona huyo kaka anajibu kama mwanamke au hiyo ndio 'standard' response unapotongozwa??...Mwaka 2012 huu na si mwaka 47...mtongoze tu huyo njemba lakini uwe tayari kukataliwa na pia kujibu maswali chungu nzima ikiwemo, "Umeshawahi kuwatongoza wanaume wangapi?" "Kitu gani kilichokufanya unipende hadi kunitongoza?" "Je ukimuona mwanaume mwingine ambaye ana hicho ulichonipendea mimi au zaidi yangu je naye utamtongoza?"
Kila la heri...ila kama unaona shida basi jipitishe pitishe maeneo yake ya kujidai na huku ukimsalimia kwa tabasamu la nguvu hadi somo lieleweke. (kwamba yule dada ananipenda/ananizimikia)
Coz mimi swala hli laniumiza kichwa coz nimezoea kutongozwa na caca nimempenda m2 what can i do jaman.
Sheria namba moja ya kutongoza ya mwaka 1967 kifungu A, kifungu kidogo cha (iii) na (iv)
(iii) Ni marfuku mwanamke kumtongoza mwanamme yeyote wala kumtega kama hajui kusoma na kuandika kiswahili kwa ufasaha
(iv) mwanamme atakayetongozwa na mwanammke asiyejua kusoma na kuandika kiswahili kwa ufasaha, endapo atakubaliana tongozo hilo, atapewa adhabu ya kuvuta jiwe la kilo 10 kwa kutumia kengele zake, jiwe hilo litafungwa kamba ya manila. (kama John English)