Nani wa kuzaa nae?

Nani wa kuzaa nae?

monaco

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
2,184
Reaction score
1,779
Wakukukuuu mambo vp?

Leo nilikuwa naenda kutafuta nyumba ya kununua pale sinza kumekucha,basi nikawa nimekaa pale kwa madalali kwa nyuma kuna saloon ya kike,nlikuwa namsubiri mwenyeji wangu,nikasikia wadada wakibishana/kueleweshana wao kwa wao mmoja anasema "bora kuzaa na mwanamme handsome bwana akupe mbegu/sura safi ya mtoto,mwingine akamwambia hapana vizuri uzae na mwanamume Msomi kichwa inachemka,atasaidia kupata mtoto mwenye akili na kupunguza ma ada ya shule kwa kutokuwa mzembe darasani,mabishano yalikuwa ya sauti kuu....nikajiuliza hivi kumbe wadad huwa wanafikiria hayo ya handsome na akili ili mtoto mzaliwa awape raha wazazi,Ghafla akaja dalali wangu nikaondoka nae nilitaka nisikilize nione mwisho wake/hitimisho lingekuwaje?
 
wewe unaonaje hayo majadiliano,au ungehitimisha vipi? ili kutoa ufumbuzi wa discussion yao?
 
Okay Ukikosa nyumba ya Kununua Nione Nikusaidie kutumia hizo million 200!!!!! Sio nyingi you know!!!!!!! Nimefulia afu nina hamu ya kuangusha House party la back in the days!!!!!! Ukinifadhili 3m sio mbaya!!!!!! Watanzania wote ni Ndugu!!!!

Back to topic!!!!!!

Ofcourse kwa sisi tunaojali future generations lazima ujiulize UZAE na nani ofcourse!!!!!! Mwenyewe i thank my mama for what she gave me for free!!!!!!
 
dizain jamaa alitaka kutujuza kuwa ana fulush za kununua house sinza hizo story nyingine zote mbwembwe. haya tumejuwa unazo hongera. unatuzuga hapa nani wa kuzaa nae? weweeeeeee
 
Uzae na yule ambae atakuwa tayari kuitwa baba,mume kulea familia hata wewe mama ukianguka watoto wasitetereke hayo mengine umjini tu unawas
sumbua.
 
Okay Ukikosa nyumba ya Kununua Nione Nikusaidie kutumia hizo million 200!!!!! Sio nyingi you know!!!!!!! Nimefulia afu nina hamu ya kuangusha House party la back in the days!!!!!! Ukinifadhili 3m sio mbaya!!!!!! Watanzania wote ni Ndugu!!!!

Back to topic!!!!!!

Ofcourse kwa sisi tunaojali future generations lazima ujiulize UZAE na nani ofcourse!!!!!! Mwenyewe i thank my mama for what she gave me for free!!!!!!
Hold on,.....

[h=5]Umri Umekwenda Sawa Huwezi ....Umepitwa na wakati Sawa Nakubali
Pesa Huna sawa {Kwani Kila Mtu kazikuta Humu Duniani)...Kazi Huna
sawa kila mtu na bahati yake Lakini Hata Mikwala Pia Huwezi??....Lol[/h]
 
kumbe ndo maana mama nase analalamika kwanini kazaa na mzaramo nshajua sasa..

mambo ya binadamu hayo..
 
Wakukukuuu mambo vp?

Leo nilikuwa naenda kutafuta nyumba ya kununua pale sinza kumekucha,basi nikawa nimekaa pale kwa madalali kwa nyuma kuna saloon ya kike,nlikuwa namsubiri mwenyeji wangu,nikasikia wadada wakibishana/kueleweshana wao kwa wao mmoja anasema "bora kuzaa na mwanamme handsome bwana akupe mbegu/sura safi ya mtoto,mwingine akamwambia hapana vizuri uzae na mwanamume Msomi kichwa inachemka,atasaidia kupata mtoto mwenye akili na kupunguza ma ada ya shule kwa kutokuwa mzembe darasani,mabishano yalikuwa ya sauti kuu....nikajiuliza hivi kumbe wadad huwa wanafikiria hayo ya handsome na akili ili mtoto mzaliwa awape raha wazazi,Ghafla akaja dalali wangu nikaondoka nae nilitaka nisikilize nione mwisho wake/hitimisho lingekuwaje?

So far Hi ndio pumba ya 2013
 
Uzae na yule ambae atakuwa tayari kuitwa baba,mume kulea familia hata wewe mama ukianguka watoto wasitetereke hayo mengine umjini tu unawas
sumbua.


Hili nalo neno!
 
Back
Top Bottom