klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,647
- 5,145
Khaaaa! kwao michelle waliniiitia polisi kamanda, uskumbushie kabisa balaa lilonikumbaKamanda we juzi tu si ulikuwa unapeleka posa kwa kina Michelle ?
Khaaaa! kwao michelle waliniiitia polisi kamanda, uskumbushie kabisa balaa lilonikumbaKamanda we juzi tu si ulikuwa unapeleka posa kwa kina Michelle ?
Hilo la thanks mi huwa nashangaa mtu ana posts 500 au zaidi na hajatoa hata thanks moja nae kapata kibao,nisingependa kuwa jirani ya mtu kama huyo lol!Yakhe mie napenda zile thread ambazo ni zenye maadili! ila siwapendi wale jamaa ambao ni wagumu wa kutoa thanks na wengine ni wale ambao walikipigia kura kitufe cha GROAN eti kirudishwe!!!
Pole sana mkuu rudi # 120 nime-edit utacheka sana,kwa kina Michelle ulienda unaongea kiswahili nini ? kiswahili na Masaki wapi na wapi labda ndio maana mdingi akaona unaweza kumletea majambazi kutoka Mtogole usiku hahaha!
Nawapenda kwa moyo wangu wote wafuatao:
Wasichana: NEMO, FREEMA ....., ASHA D, ROSE 1980, LIZZY,FIRST LADY 1,BELINDA JACOBS,AFRODENZI na natamani siku moja tujuane zaidi ya JF, napenda hoja zao na uwezo wao kufikiri,kujenga hoja na kutetea hoja yao na zaidi wana mioyo/akili inayochukulia mambo serious.
Wanaume nawapenda wafuatao: The Finest, EMT, Nonda,Arsene Wenger,Balantanda, Speaker,BAK,Klorokwini wa ukweli,Uporoto,Mbu na zaidi japo hayupo JF siku hizi Hashycool!
Sijapata bado wa kumchukia......!!!
sipendi
MADHARAU, uwivu usio na maana,
kuchangia poster ajili unamjua mtu au
kwa sababu yuko hapa kwa muda, watu
wanaotukana MODS, watu ambao hawajui kati
utani na ukweli, sipendi wanao dharau wageni( wana JF wapya)
napenda
kila mtu hatakama hunipendi hainijalishi
kwani hunijui sikujui ... ( zaidi napenda dawa zote)
na wanaopenda uchesi , wanaosema kilichoko
akili mwao bila kujali nani ni nani ( bado wanazingatia Sheria)
zaidi napenda mtu anae msiifu mwenzie kwa kazi nzuri
alie fanya...
Jamani kloro kwenye thread hii hii ulikuwa na mpango wa kumtafuta spanish lady usimdanganye mdogo wangu Michelle.Thats my gal! I love u too baby, Ur presence always flavour my heart, Ur style conquer my comfy, Strength me baby with ur that unique skills, Excuse my grammar cuz when u r arround i cant even spell my name right. Love u baby!
Kamanda ile ilikuwa ni teknik ya kumleta michelle arround, sasa amewasili acha tulembee mistari ya kiduku.Jamani kloro kwenye thread hii hii ulikuwa na mpango wa kumtafuta spanish lady usimdanganye mdogo wangu Michelle.
Nawapenda kwa moyo wangu wote wafuatao:
Wasichana: NEMO, FREEMA ....., ASHA D, ROSE 1980, LIZZY,FIRST LADY 1,BELINDA JACOBS,AFRODENZI na natamani siku moja tujuane zaidi ya JF, napenda hoja zao na uwezo wao kufikiri,kujenga hoja na kutetea hoja yao na zaidi wana mioyo/akili inayochukulia mambo serious.
Wanaume nawapenda wafuatao: The Finest, EMT, Nonda,Arsene Wenger,Balantanda, Speaker,BAK,Klorokwini wa ukweli,Uporoto,Mbu na zaidi japo hayupo JF siku hizi Hashycool!
Sijapata bado wa kumchukia......!!!
mmmhhh nashukuru kwa taarifa....!Jamani kloro kwenye thread hii hii ulikuwa na mpango wa kumtafuta spanish lady usimdanganye mdogo wangu Michelle.
haya nimekuja Kloro,nakusikiliza na mistari yako!Kamanda ile ilikuwa ni teknik ya kumleta michelle arround, sasa amewasili acha tulembee mistari ya kiduku.
Sjui kwanini hukuwa balozi wa Tanzania nchini Hongkong? khaaaa! yaani una mapwenti kuliko ya ex waifu wa shwazinega?
mmmhhh nashukuru kwa taarifa....!
haya nimekuja Kloro,nakusikiliza na mistari yako!
am waiting Kloro,say it Kloro,say it!!Dah! kweli kutongoza kazi! yaani nishaishiwa zamaaani! Uporoto saidia mkuu, nipe miwili mitatu kabla michelle hajatimua
mmmhhh bwana umeanzae
leo nimekula ngumu ya jeshi
sicheki .... sasa zidisha dozi
au nakugandamiza katikati ya
vijiko viwili nakuwekea asali na sukari
maji kibao.. (halafu nafikiriammmmmhh
niimwage au niinywe)
subiri! nadesa kwa jamaa facebook, nitammwaga vitu vere soon. hakikisha uko na antiflirting machine.am waiting Kloro,say it Kloro,say it!!
Kuna ile ulitumia siku ile sijui kwa Keren au Hus ilikuwa mizuri badili jina tu na kuweka Michelle lol!:wink2: Cpu hutumia sana hiyo teknik.Dah! kweli kutongoza kazi! yaani nishaishiwa zamaaani! Uporoto saidia mkuu, nipe miwili mitatu kabla michelle hajatimua
hehehe kamanda hapa nimecheka kwa laudi speaker. CPU anakuwa anachukua nyimbo za Pepe kalle halaf anatafsiri kwa kiswahili anatongozea. Hii teknik kama haujui kilingala hauwezi kuishtukia.Kuna ile ulitumia siku ile sijui kwa Keren au Hus ilikuwa mizuri badili jina tu na kuweka Michelle lol!:wink2: Cpu hutumia sana hiyo teknik.