Aisee white au maji ya kunde, ndo best form zangu π€π.Aisee ngozi nyeupe Mimi hata siikubali sijui ni kwa sababu nilizaliwa Kusini ? πππ
Waja Leo waondoka leo nilishawahi kwenda pale kwenye harusi ya Dada yake demu wa Mshikaji wangu halafu Mshikaji alikuwa hapendwi na Wazazi wa yule demu yaani tulikuwa kama Wazamiaji kwenye ile harusi. πAisee white au maji ya kunde, ndo best form zangu π€π.
Siku niki enda Tena tanga,tuongozane ili ubadilishe kauli π€
Kulikuwa na Mwamba wa huko Mbeya alikuwa anajiita mikatabafeki sijui naye yuko wapi? Nilishawahi kutana nae pande za Iringa kule sana maji ya dhahabu.Huu uziulianzishwa enzi hizo watoto bado walikua shule.
Kipindi hicho kulikua hakuna viroboto a.k.a chawa Kama
Lucas mwashambwa
ChoiceVariable
Elitwege
Etwege
Kipindi hicho hakuna kusifia ubadhirifu wa pesa za umma.
Watu wa Mbeya humu jf ilikua niwale cream, watu wsnaonjielewa Kama @bujibujisimbanyanaume na wengine wachache wenye akili.
I admire you silently Mkuu ππHawa apa
Dr Lizzy
Pretty
AshaDii
Amyner
sweetlady
Rose1980
JS
DaMie
Mrembo
Depal
Evelyn Salt
Manyanza
Kalpana
Jadda
Nyani Ngabu
cocochanel
Maxence Melo
Husninyo
Grahams
Tresor Mandala
Niongeza ni To yeye na mshamba_hachekwi , Raine Col , ephen_ Leejay49 , Selikavu
Ukiona haupo ujue unadaiwa Afu 3 na ukikosa kwenye list ya baadae ujue wewe ni ombaomba
Hawa ndio ninaowakubali sana humu ndani since 2011 hapo baadae ntaongeza list nyingine ya Gen v
Kaka Mwaka Jana, nilikuwa mtaa wa barabara ya 15 kule.Waja Leo waondoka leo nilishawahi kwenda pale kwenye harusi ya Dada yake demu wa Mshikaji wangu halafu Mshikaji alikuwa hapendwi na Wazazi wa yule demu yaani tulikuwa kama Wazamiaji kwenye ile harusi. π
Mimi humu ephen ndio kanishika kuta zote za moyo wangu.
Thanks amigos πππI admire you silently Mkuu ππ
WhenNgoja nimalize :A S-cry: Partner and i will be back!
Huyo Dada AshaDii katukimbia aisee π€£When
Au analea πππHuyo Dada AshaDii katukimbia aisee π€£
Ni Mmoja wa Maboss wa JF Sasa hiviAu analea πππ
Niliona status imebadirika aisee alikuwaga mpole sana.
Jon snowMimi chamkosi humu jf sijawah kua tagged anywhere...
But my favorite ni huyu
View attachment 2940467
Kabisa kaka kachangia sana mada zangu miaka ya 2011 apumzike kwa amani ππ ππNiliona status imebadirika aisee alikuwaga mpole sana.
ππππππI cherish this Dogo.Ninao Wa admire humu
1. Elton Tonny
2. Dr Lizzy
3. Intelligent businessman
4. Captain Marvelous
5. BIN NUN
6. Joannah
7. The MoNA
8. Greatest Of All Time
9. To yeye
10. Mshana Jr
Special:
Aaliyyah , Leejay49
and Evelyn Salt ππ
Kama haumo kwenye hii list nenda kaoge maji ya bahari njia panda ya Kijitonyama/Mwenge/Makumbusho/Rose Garden. ππππ
It means more to me π₯°πππππππI cherish this Dogo.